pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Hapa nimeshazikumbuka, nikitoka job jioni naingia zangu Safari Resort naagiza kitu moto nusu nashushia na serengeti lite 4 ba bariiiiiiid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mjinga. Kichwa maji. Stupid terrorist[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] mpumbavu ni wewe na familia yako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umeshanyolewa nyusi na kupakwa mafuta?Mume wenu anathibitisha
Yeremia 3:14
Rudini, enyi watoto wenye kuasi, asema BWANA; maana mimi ni mume wenu;
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe mungu ulishawahi kumuona au shobo tu? Una evidence gani kuwa mungu yupo!?Anajua kuhusu Mungu ila wewe na upumbavu wa wazazi wako umekufanya uwe zezeta
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio anamtafuta yule atakayenyolewa nyusi na kupakwa mafuta?Mumeo anakutafuta huko
Yeremia 3:14
Rudini, enyi watoto wenye kuasi, asema BWANA; maana mimi ni mume wenu;
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yule papa ni muwakilishi wa dini ganiHapa unazidi kuonesha ujinga na upumbavu kama sio ungumbaru uliopitiliza. Kama mtu sio muislamu ni lazima awe mkristo? Usiwe poyoyo. Kama mtu ni mkristo lazima awe roman catholic? Warudishie waazi wako hela ya ada waliyokulipia miaka yote ya shule. Biblia hairuhushu ushoga. Na inasema kabisa mashoga wanatakiwa wauwawe. Sasa sijui ni kitu unaongea wewe zumbukuku
kwa hiyo dhambi ni ulevi, sio pombe?Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Sawa upumbavu wa familia nzima huo ulio kujaaWewe ni mjinga. Kichwa maji. Stupid terrorist
Kawa ulize wapumbavu wa kwenye familia yakoWewe mungu ulishawahi kumuona au shobo tu? Una evidence gani kuwa mungu yupo!?
Hahahahahahahaha usiayakimbie hayo yamo kwenye bibilia pumbavu weweSio anamtafuta yule atakayenyolewa nyusi na kupakwa mafuta?
Hahahaha unakimbia maandiko yenu Rudini kwa mume wenuSio anamtafuta yule atakayenyolewa nyusi na kupakwa mafuta?
Kutakuwa na limao au maziwa fresh kwel?maana sipat picha hilo hang over la asubuhi itakuwajeKuna watu watakutana na mito ya pombe ikitiririka!! Yaani unakunywa mpaka unaoga kabisa humo humo!
Kwa hyo unataka ukalewee mbinguni ?....hyo kitu hamnaa. . ...w kama unaweza gida Fanya ivo .. .mashehe wenu wanawapanga msinywe kumbe wao wananywea vyumban kwakoHakuna pombe ya kulewesha, kuondosha akili na kuumiza kichwa huko akherah bali kuna mvinyo {wine} safi wenye ladha kwa wanywao na si haya mangano yaliyooza na maspirit mnayonyweshana hapa duniani na kuvua nguo mbele za watu huku mkilala mitaroni na makorongoni bila kujitambua.
Baada ya utangulizi huo, nikufahamishe mkuu kuwa usione wivu allah akiwalipa waja wake watiifu kwake kwa makazi mazuri yenye kupita mito chini yake na maziwa mazuri yasiyobadilika ladha yake na wine nzuri yenye ladha kwa wanywao na maji matamu yasiyododa na wanawake wanawari wazuri waliotwaharika na hedhi, mate, shahawa, haja kubwa na ndogo na wenye mapenzi mno kwa waume zao, wewe unayaonea wivu haya? sasa utapunguza nini?.
"Je! mashukio hayo si ndio bora, au mti wa zaqquum?, hakika sisi tumeufanya mti huo kuwa ni mateso kwa madhalimu, hakika hapana vingine huo ni mti unaotoka katikati ya moto jahannam, mashada ya matunda yake kama kwamba ni vichwa vya mashetani, basi hakika hapana vingine hao watakula kutokana na mti huo na wayajaze matumbo yao, kisha hakika wana wao juu yake mchanganyiko wa maji ya moto yaliyochemka mno!, kisha hakika marejeo yao bila ya shaka ni kwenye jahannam."
Qur'an 37:62-68
Basi zingatia usluub wa Qur'an na uhudhurishe moyo wako wote kwenye hilo, hapo utagundua allah akikisifia kitu kwa uzuri basi anapea kwenye hilo na akikizungumzia kitu kibaya basi makemeo yake ni makali mno.
Mbinguni hakuna kulewa ni kustarehe tu, na sisi mkuu ndio mashekhe wenyewe so ingia field usidanganywe utakufa peke yako.K
Kwa hyo unataka ukalewee mbinguni ?....hyo kitu hamnaa. . ...w kama unaweza gida Fanya ivo .. .mashehe wenu wanawapanga msinywe kumbe wao wananywea vyumban kwako
lazima tuwape ukweli ulivioMkuu naona umeni qoute ila sio mbaya nilikua najaribu kuwajibu hao jamaa zetu wanaopenda kututukana kila siku.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
sisi sio sawa na nyinyi msio hoji kila mnalo ambiwa sheikh akinywa kanywa yeye awezi simama mbele yetu akasema nyinyi mywe au msinywe tunafata maandiko tuK
Kwa hyo unataka ukalewee mbinguni ?....hyo kitu hamnaa. . ...w kama unaweza gida Fanya ivo .. .mashehe wenu wanawapanga msinywe kumbe wao wananywea vyumban kwako