Achana na mavazi. Watu walitembea uchi kitambo na hadi leo wapo watu wanatembea utupu huko Amazon (misitu ya Brazil na Argentina).mkirisito yeye hana haramu wala halali wala dhambi bili uchangaya yote sehemu 1 mala yesu mala mariyamu mama wa mungu mala papa snasamehe dhambi wapo wapo tu hawajui lolote kuhusu mungu huo ndio ukweli
siku wakirisito wakajua nin maana ya haramu na dhambi hakuna atakae kunywa pombe wala nguluwe wala kuvaa vichupi barabalani wala kukesha makanisani wakipiga mayoe wala kumuita yesu mungu
Wewe unajua nini kuhusu mungu!? Umeaminishwa upumbavu afu unajifanya mjuaji kumbe bwege mtozeni tu.mkirisito yeye hana haramu wala halali wala dhambi bili uchangaya yote sehemu 1 mala yesu mala mariyamu mama wa mungu mala papa snasamehe dhambi wapo wapo tu hawajui lolote kuhusu mungu huo ndio ukweli
siku wakirisito wakajua nin maana ya haramu na dhambi hakuna atakae kunywa pombe wala nguluwe wala kuvaa vichupi barabalani wala kukesha makanisani wakipiga mayoe wala kumuita yesu mungu
"........sema: leteni ushahidi wenu mkiwa nyinyi ni wakweli."Nyinyi wote ni potential terrorists
Nipo pamoja na wewePombe haijawahi kuwa dhambi, au haram! Ila matendo mabaya yatokanayo na hiyo pombe sasa, ndiyo yatampeleka mtu kutenda dhambi! Na hivyo mwisho wa siku kuchukuliwa kama haram.
wewe tukana tu lakini nyiyi halamu na halali mnachangaya kwenye kapu 1 uwezi kumuabudi kiumbe alie enda jando na kuvaa nepi na kunyonyo matiti ya mama na kwenda kuungama dhambi kwa padiri huo ndio ukweli yesu hawezi kuwa mungu kwa watu wanao mjua mungu labda kwa ndondocha kama wewe na ukifa kwa imani hiyo tegemea kwenda kuishi moto tuWewe unajua nini kuhusu mungu!? Umeaminishwa upumbavu afu unajifanya mjuaji kumbe bwege mtozeni tu.
walitemba uchi sababu awakuwa na nguo leo kila kona nguo mbona amtembei kwa miguu kama zamani na kuishi kwenye mapangu ushenzi ni zaidi ya ukimwiAchana na mavazi. Watu walitembea uchi kitambo na hadi leo wapo watu wanatembea utupu huko Amazon (misitu ya Brazil na Argentina).
tatizo lenu amjui nini maana ya maneno haya haramu na halaliNip
Nipo pamoja na wewe
wewe unajiariji tu kitendo chenu cha kumabudu yesu na mamake huo ni ukafiri ulio tukuka mwisho wa siku ni motoni kuanzia pale mnapo kufa tangu lini yesu akawa mungu kama sio ushirikina nn?Upumbavu mtupu. Nyie ndo maana ni rahisi sana kuwarubuni mkavae mabomu na kujilipua under jihad. Vichwa vyenu vimejaa upupu. Kama mnaamini huu utumbo sio jambo la kushangaza how easily you get brainwashed
Hapa anaongelewa mlevi, je usipolewa?Katika uislam ulevi ni haram(kukatazwa) na kitu chochote kilicho haram basi ni dhambi hyo
Allah anasema katika qur anيَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ
[ AL - MAIDA - 90 ]
Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Hapo umeongelea ulevi, je mtu asipolewa?Pombe ni kilevi cha zamani sana ukisoma kwenye historia na kwenye Quran pombe imekatazwa mara tatu kwasababu maswahaba walikuwa wamedumbukia kwenye ulevi uliopitiliza ikaja katazo la kwanza likisema
"Msikaribie swala ikiwa mmelewa' (an nissa:43)
Ila haikusaidia maana walikuwa wakitoka kwenye ibada break ya kwanza kwenye pombe likaja katazo jingine likisema
'Enyi ambao mmeamini hakika ya ulevi na na masanamu na ramli na mishale ya kutizamia ramli ni uchafu na ni miongoni mwa matendo ya shetani jiepusheni nayo huenda mkawa wachamungu wa kweli,
Uharamisho wa ulevi katika uislam,
Kwa hakika shetani anataka kukuleteeni uadui na bughudha baina yenu kwa ajili ya ulevi na kamari na anataka kukuzuilieni dhikiri za Allah na kuswali basi je mtaacha hayo (al maida:93)
Pombe ilikatazwa kwasababu watu walikuwa wanaenda kwenye ibada lakini hawana yakini na ufahamu wa kitu wanachokifanya wote tunajua pombe ilivyo na mtu akilewa kwa hyo lengo lilikuwa mtu akienda kwenye ibada ajue anachokifanya na mtume alipata sana tabu kukataza jambo hilo.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
umeelewa vizuli tu unajitoa akili tu lakini ukweli umekufikiaUkiwa unareply comments za watu jitahidi kuandika vitu vinavyoeleweka. Hauongoi na wapumbavu wenzio wa huko kijiweni kwenu.
Vipi kuhusu ile mito ya pombe tuliyoahidiwa kuikuta peponi?Katika uislam ulevi ni haram(kukatazwa) na kitu chochote kilicho haram basi ni dhambi hyo
Allah anasema katika qur anيَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ
[ AL - MAIDA - 90 ]
Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Chapati majiPombe ni kama chakula ila usizidishe maana hata chakula ukizidisha ni kosa kwani utavimbiwa. Yesu aliruhusu pombe kwa kuibariki.
Pombe, nguruwe sio haramu. Wanadamu wanaanua tu kuvifanya vitu hivi kuwa haramu kwa sababu zao za kihistoria. Usikubali utumwa huu kuwa huru!Wadau hamjamboni nyote?
Kwa heshima kubwa naombeni mnipatie majibu kupitia vyanzo sahihi kwa kuzingatia kichwa cha habari.
Je Pombe ni dhambi au ni haramu?
Je Pombe imekatazwa na Quran tukufu ama Mtume Mohamed?
Kashfa ya aina yeyote nitaomba Moderator afute Uzi huu
Aksante Niwatakie Jumapili njema
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] mpumbavu ni wewe na familia yakoMangumbaru yanaambiana kuwa yatapewa mito ya wine na mabinti bikra 72. Hivyo mangumbaru yanaambiana yasinywe pombe hapa duniani ila yatakunywa huko peponi. Hawa watu ni wapumbavu wa hali ya juu.
Mume wenu anathibitishaHapa unazidi kuonesha ujinga na upumbavu kama sio ungumbaru uliopitiliza. Kama mtu sio muislamu ni lazima awe mkristo? Usiwe poyoyo. Kama mtu ni mkristo lazima awe roman catholic? Warudishie waazi wako hela ya ada waliyokulipia miaka yote ya shule. Biblia hairuhushu ushoga. Na inasema kabisa mashoga wanatakiwa wauwawe. Sasa sijui ni kitu unaongea wewe zumbukuku
Uo ni uelewa wako wa kipunbavu kama ilivyo familia yakoHapa anaongelewa mlevi, je usipolewa?
Anajua kuhusu Mungu ila wewe na upumbavu wa wazazi wako umekufanya uwe zezetaWewe unajua nini kuhusu mungu!? Umeaminishwa upumbavu afu unajifanya mjuaji kumbe bwege mtozeni tu.
Sasa kinakuuma niniIla mbinguni mnapewa 72 na vijito vya ulevi, how ironic
Mumeo anakutafuta hukoUpumbavu mtupu. Nyie ndo maana ni rahisi sana kuwarubuni mkavae mabomu na kujilipua under jihad. Vichwa vyenu vimejaa upupu. Kama mnaamini huu utumbo sio jambo la kushangaza how easily you get brainwashed