[emoji115] [emoji115]Nashukuru sana eng.,ni sahihi kuongeza maji ya uhai, badala ya kulant(kuchanganya kulant na maji)? Gar yangu ni noA
Nashukuru kwa elimu,licha ya kuganya service ya mara kwa mara,ya kumwaga oili,sevisi ya injini hutakiwa kufanyika kila baaada ya mda gani? Huu ni mwaka wa pili tangu niinunue show room,Jarib kutumia pure water hayo ya uhai ukiangalia pale kwenye PH utagundua kuwa sio pure water coz mengi yanazid 7.1 au below 6.9......
Pure water ni kama yale maji ya AC zile za maofisini au majumbani au unaweza kutumia maji ya kilimanjaro kwasababu yenyewe ni pure water
Muda wa kufanya service inategemea na matumiz yako.Nashukuru kwa elimu,licha ya kuganya service ya mara kwa mara,ya kumwaga oili,sevisi ya injini hutakiwa kufanyika kila baaada ya mda gani? Huu ni mwaka wa pili tangu niinunue show room,
Mkuu umeongea vyema ila kuna coolant temperature sensor ni muhim sana kwny coolin system ya gar ipo karibia na thermalstart inafanya kaz ya kupima joto la maji pind joto likiwa juu sana inaamuru fen kuzunguka na maji lupoozwa lkn pia nanuwezo wa rejetor kutunza maji kama imetoboka au mfuniko mbovu inaweza changiaMkuu kuna sababu nyingi zinazosababisha
injini ya gari kuchemsha.Mojawapo ni radiator/rejeta kama
unatumia maji ya uswahilini badala ya coolant huwa zinajaa kutu
kama matope na hivyo njia za maji kuziba.Pia kuna feni
inayopoza maji kwenye radiator kama haifanyi kazi
ni sababu. Pia kama injini yako imefanyiwa overhaul
na fundi akakosea kuset timing belt hii nayo ni sababu.
Pia kuna thermalstart ambazo hutumika
kuzuia maji kuzunguka kwenye injini mpaka
joto linalotakiwa kwenye injini lifikie,
hizi kuna kipindi zinakufa na kushindwa
kufungua hata joto la injini likifikia.
hizi mara nyingi mafundi wetu huzitoa
ili kuondoa tatizo hilo,check kama gari yako inayo.
Kuna kitu kingine rahisi ambacho wewe mwenyewe
unaweza kuangalia ni mfuniko wa radiator,kama rubber
yake imechoka huwa inapitisha maji kabla pressure
haijafikia kiwango cha kufungua mfuniko kwenda
kweny expansion tank na hivyo kusababisha maji
kuisha kwenye radiator.
Naamini na wengine wataongezea.
Mkuu mimi gari yangu inatabia ya kujizima kwenye foleni,au ikiwa silencer,nimejaribu kupandisha silnce lkn bado tatizo lipo?service naw kila kitu kipo vizuri,tatizo nini?Nimerudi tena inaitwa "timing light" siyo "timing torch",
mafundi wengi mtaani wanapofanya engine overhaul
hawatumii hiki kifaa na hivyo mara nyingi wanasababisha
matatizo.Kuna kitu kinaitwa "timing angle" bila hiki kifaa
uwezekano wa kupatia ni mdogo sana.
Daihatsu teriors,engine K3 mkuu.Ni aina gani ya gari niweze kukusaidia?
Ok Poa Mkuu ngoja nimchekiKutu kwenye radiator inaondolewa kwa kuwapelekea
mafundi wa radiator ili waisafishe.Lakini kama injini imefanyiwa overhaul
mwone fundi wako aangalie upya timing,kama alitega vibaya
lazima itasumbua kwa kuchemsha.Kuna kifaa kinatumika
kupima usahihi wa timing kama sikosei ni "timing torch" ngoja nitafute nitarudi.
OkNimerudi tena inaitwa "timing light" siyo "timing torch",
mafundi wengi mtaani wanapofanya engine overhaul
hawatumii hiki kifaa na hivyo mara nyingi wanasababisha
matatizo.Kuna kitu kinaitwa "timing angle" bila hiki kifaa
uwezekano wa kupatia ni mdogo sana.
Imejitoshereza kabisaMkuu kuna sababu nyingi zinazosababisha
injini ya gari kuchemsha.Mojawapo ni radiator/rejeta kama
unatumia maji ya uswahilini badala ya coolant huwa zinajaa kutu
kama matope na hivyo njia za maji kuziba.Pia kuna feni
inayopoza maji kwenye radiator kama haifanyi kazi
ni sababu. Pia kama injini yako imefanyiwa overhaul
na fundi akakosea kuset timing belt hii nayo ni sababu.
Pia kuna thermalstart ambazo hutumika
kuzuia maji kuzunguka kwenye injini mpaka
joto linalotakiwa kwenye injini lifikie,
hizi kuna kipindi zinakufa na kushindwa
kufungua hata joto la injini likifikia.
hizi mara nyingi mafundi wetu huzitoa
ili kuondoa tatizo hilo,check kama gari yako inayo.
Kuna kitu kingine rahisi ambacho wewe mwenyewe
unaweza kuangalia ni mfuniko wa radiator,kama rubber
yake imechoka huwa inapitisha maji kabla pressure
haijafikia kiwango cha kufungua mfuniko kwenda
kweny expansion tank na hivyo kusababisha maji
kuisha kwenye radiator.
Naamini na wengine wataongezea.
Hata pure water si sahihi kutumia kama coolarnt kwa sababu maji hata kama ni pure ni lazima yatasababisa kutu kwenye radiator na more kule yanakopita. Coolant ilivyotengenezwa haiwezi kusababisha kutu.Jarib kutumia pure water hayo ya uhai ukiangalia pale kwenye PH utagundua kuwa sio pure water coz mengi yanazid 7.1 au below 6.9......
Pure water ni kama yale maji ya AC zile za maofisini au majumbani au unaweza kutumia maji ya kilimanjaro kwasababu yenyewe ni pure water
Ninaongea by experience mimi ni marine engineer katika cooling tunatumia sea water na fresh waterHata pure water si sahihi kutumia kama coolarnt kwa sababu maji hata kama ni pure ni lazima yatasababisa kutu kwenye radiator na more kule yanakopita. Coolant ilivyotengenezwa haiwezi kusababisha kutu.
Kwa swali lake hilo hapaswi hata kuwa na gari! Au awe anaendeshwa!Yap kunaweza kusababisha engine kuchemsha
Ngoja nikupe elimu kidogo
Maji hayapoozi engine moja kwa moja ila yanapooza kama ifuatavyo:-
Oil inakazi tatu nazo ni
1.kuleta mlainisho wa vyuma
2.kusafisha engine
3.kupooza engine
Hapo kwenye kupooza engine ipo ivi:-
Oil inapozunguka kwenye engine inakutana na joto na ukisoma theory ya tempature inasema iv:-
Joto husafiri kutoka sehem yenye joto kubwa kuelekea kwenye sehem au chombo chenye joto dogo(heat transfer)
Kwaiyo oil inagain heat kutoka kwenye engine
Oil hiyo hupoozwa na maji au coolant hali ambayo hupelekea kupungua kwa joto la engine kwasababu oil huingia katika engine ikiwa na joto kidogo na hutoka na joto jingi kitendo ambacho tunaweza kusema oil husafirisha joto kutoka kwenye engine.
Kwaiyo oil hiyo isipopoozwa vizuri jawabu lake ni engine kutopoozwa vizuri jambo ambalo hupelekea engine kupatwa na joto losilo la kawaida
Note. Maji hayaiingii kwenye engine moja kwa moja kwasababu ya tabia yake ya kuweza kusababisha kutu(corrosion) hivyo oil hutumika kama chambo tu
Kama hujaelewa uliza kipengele ambacho unahitaj maelezo zaid ili nikupatie
.Hata pure water si sahihi kutumia kama coolarnt kwa sababu maji hata kama ni pure ni lazima yatasababisa kutu kwenye radiator na more kule yanakopita. Coolant ilivyotengenezwa haiwezi kusababisha kutu.