Naomba kujua sababu ya gari kuchemsha (overheat)

.
Hakuna anaekataa kuwa maji hayawezi tumika kupoza injini, in principle, mfumo wa kupoza in mmoja ila matumizi yanatofautiana kutokana na mazingira. Hata sisi binadamu tunatumia mfumo huo huo wa 'homeostasis' lakini badala ya maji tunatumia damu.

Pia usisahau kuwa freezing point ya coolant ni kama −37 °C hivi, kuna maeneo duniani temperature inashuka mpaka − 10°C wakati wa winter. Sasa we weka maji yako uone kama hiyo radiator haija pasuka vipande vipande.
 
Mfuniko upo sawa, feni inazunguka kama kawaida. Engine imefanyiwa overhaul na situumii coolant. Je tunawezaje kuondoa kutu ndani ya radiator? Na kuhusu timing belt naomba ufafanuzi zaidi
Radiator yako ni ya njia ngapi kuna 3 na 4, hii njia nne hainaga headache. Kwa masafa ya mbali kulinganisha na Engine yako utasahau lakini kuna kitu inaitwa gasket cylinder head kama haipo poa inapitisha maji au hewa hapo dili na engine kwanza hususani kwa engine ambayo ilishafunguliwa
 
Unataka tubishane tu ngoja nikukumbushe kidogo

Maji au coolant inavoingia kwenye engine ili kufanya cooling hayaingii yakiwa katika hovyo hovyo

Kwanza kabisa yana pashwa joto kama yako below maximum temperature au yanapunguzwa joto kama temperature ipo juu

Jibu la swali lako

Gari hata lipite kwenye barafu usitegemee maji au coolant ukakuta imeganda kuna heater ambazo zinayapasha hayo maji

Note..hapo kwenye heater usiubane ubongo wako katika kufikiria nenda google search heat exchanger ili uelewe zaidi
 
Gari hata lipite kwenye barafu usitegemee maji au coolant ukakuta imeganda kuna heater ambazo zinayapasha hayo maji

Note..hapo kwenye heater usiubane ubongo wako katika kufikiria nenda google search heat exchanger ili uelewe zaidi
.
Maji hata kama yana impurities kama maji ya bombani (impurities lower freezing point), outside temperature ikifikia kwenye mishale ya − 6°C lazima maji yagande. Huku midwest tuna deal na hizi extreme temperatures kila mwaka sihitaji ku google kufahamu.
 
Umeelewa concept yang au umekimbilia kuquote tu?
 
Muda wa kufanya service inategemea na matumiz yako.

Kwa mfano service ya daladala ni tofauti na service ya coster inayoshinda bila kufanya kazi

Ukiangalia vizuri kwenye manual ya chombo chako kuna masaa ambayo wamekuwekea ya kufanya hiyo service
Nisaidie,hivi gari kudondosha matone ya maji kutoka kwenye bomba la eksos,prs uwashapo gari asubui, ni dalili za ubovu au ni kwaida,gari yangu ni noa,asante
 
Nisaidie,hivi gari kudondosha matone ya maji kutoka kwenye bomba la eksos,prs uwashapo gari asubui, ni dalili za ubovu au ni kwaida,gari yangu ni noa,asante
Sio ubovu ni kutokana na hali ya unyevu unyevu tu ila kama ingekua inaambatana na moshi mweupe kwa muda mrefe hapo kungekua na tatizo
 
Gari aina gani? Angalia mfuniko wa redetor unaweza kua unavuja afu kuna kitu inaitwa themostart kama aifungui gari inachemsha sehemu zenye joto uwa zinatolewabkabisa ili maji yazunguke free
 
Sio ubovu ni kutokana na hali ya unyevu unyevu tu ila kama ingekua inaambatana na moshi mweupe kwa muda mrefe hapo kungekua na tatizo
Habar eng,naomba unisaidie,wastani wa mtumizi ya gari ya noa ni km ngapi kwa lta yapetroli? Nimesoma manual ya kijapan sikuelewa lugha,
 
Habar eng,naomba unisaidie,wastani wa mtumizi ya gari ya noa ni km ngapi kwa lta yapetroli? Nimesoma manual ya kijapan sikuelewa lugha,
Kuna mambo mengi ya kugundua kwamba gari yako inakula mafuta kuzid kiwango cha kawaida


Gar ni lazima ile mafuta ila ikila mafuta halafu ikawa haina nguvu au inatoa moshi mwingi hiyo ni dalili ya gari yako kushindwa kuyatumia mafuta kwa usahihi....kiwango cha hewa kinachoingia kwenye cylinder ni lazima kiwe na uwiano sawa na mafuta

Mafuta yanatakiwa yaingie yakiwa kama vumbi(sio lazma uelewe hii concept) wakati wa combustion, kuna wakati inatokea mafuta yanaingia yakiwa katika hali ya kimiminika jambo ambalo hutokana na akusinyaa kwa spring za ejection pump hali ambayo hupelekea mafuta kuingia mengi zaid na mafuta yakiingia kwenye cylinder huwa hayarudi huwa yanaunguzwa so hicho kitendo kikifanyika kwa muda mrefu ndio utasema gari yako inakula mafuta mengi


Hiyo ni moja ya sababu nyingi za gar kunywa mafuta

Note nmeelezea kwa lugha ya kawaida ili kila mtu aelewe kama mtahitaji niende indeep nahis wataelewa wachache tu
 
Maji (coolant) yana kazi kupoza engine, maji hupita kwenye ways zake mfano kwenye cylinder holes au liners huwa kuna water jackets...
Oil hupoza engine kwa kiwango kidogo sana..
 
Cooling system ya gari inahusu maji.
Lubrication system ni oil. Kwa maana hiyo maji ndiyo hasa huusika katika upozaji wa engine (oil hupoza ila ni kwa kiwango kidogo sana)

*False knowledge is dangerous than ignorance*
 
Cooling system ya gari inahusu maji.
Lubrication system ni oil. Kwa maana hiyo maji ndiyo hasa huusika katika upozaji wa engine (oil hupoza ila ni kwa kiwango kidogo sana)

*False knowledge is dangerous than ignorance*
Hahahahaha nakumbuka wakati naanza chuo ndo nilikua nafikiria kwamba maji yanapooza engine moja kwa moja ila baada yakuchimba madude library nilijiona mjinga sana

Ngoja nikufungue kidogo

Ndani ya engine kumetawaliwa na oil kwa asilimia kubwa

Narudia tena maji hutumika kupooza oil na kwa kiwango kidog maji ndo yanapooza moja kwa moja

Ngoja nikufungue tena

Ndnd
 
haya bhana..
 
Samahan bro. .gari yangu voxy ghafla imeanza kupunguza maji ingawa nikidogo kila asubuhi yanaenda kwenye reseve bottle. Tatizo nini. Pia ikifika spidi 100 alaf ukaachia mafuta ikifka 80 inakuwa inakatakata mafuta na siyo misi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…