Naomba kujua tofauti mfano waziri mstaafu na mstaafu waziri

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kuna tatizo kidogo kwenye kiswahili maana kwa viongozi hata wakimaliza mda wao wanatanguliza vyeo walivotumia na kumalizia mstaafu.
mfano raisi mstaafu,waziri mstaafu.

ila kwa wengine ijalishi ni polisi,mwalimu,dokta wanatanguliziwa mstaafu wala sio cheo alichotumikia ili linakuwaje
mfano wastaafu wa east afrika
 
Kuna nafasi au vyeo unakufa navyo, mfano Mwalimu, Balozi, Jaji, Rais, Makamu na waziri mkuu.

Hakuna mkurugenzi mstaafu ni aliyekuwa kwa kingereza ni former.

Waziri wa kawaida hawezi kuitwa waziri mstaafu bali former minister.

Vyeo vya kijeshi pia unakufa navyo, Kapteni mstaafu, Kanali, Brigedia etc.
 
Tofauti ni ipi?
Unajuwa kusoma kiswahili? Yani mimi nianze kukufundisha tofauti ya msalaba na jumlisha na x na kuzidisha?

Balozi na Jaji wanakufa na vyeo vyao hapo hujaelewa nini?

Hakuna Mkurugenzi mstaafu au Manager mstaafu
 
Kujilisha upepo tu,mwisho wa siku kashaiba kajaza tumbo kama simtank anahemahema kwa shida tu,cha maana alichofanya hakuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…