Naomba kujua ugonjwa wa nguruwe wadogo kuwa na haja kubwa iliyoambatana na maji (kuhara)

Naomba kujua ugonjwa wa nguruwe wadogo kuwa na haja kubwa iliyoambatana na maji (kuhara)

McCollum

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2023
Posts
384
Reaction score
684
Habari kwa wanajukwaa. Kwa leo naomba niende moja kwa moja kwenye mada.

Naulizia je huu unaweza kuwa ugonjwa gani hasa kwa vinguruwe vidogo kutoa haja kubwa ambayo inakuwa kama uji uji mwepesi na mara nyingi wanakosa hata nguvu ya kutembea. Ninaulizia ili niweze kuujua ugonjwa huu na kuwapatia nguruwe wangu tiba, kama itakuwa ya asili au artificial nipo tayari.

Naona hasara kwenye ufugaji inaninyemelea.
 
Wachome antibiotics na sindano ya sulphur
Kwa nguruwe kuhara ni common hasa wakiwa wadogo baada ya kuacha kunyonya
Mara nyingi ni infection Wanazopata kupitia chakula pia wachome dawa ya minyooo
 
Back
Top Bottom