Naomba kujua ukweli kuhusu wanyonya damu

Naomba kujua ukweli kuhusu wanyonya damu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Zamani ilisemekana kulikuwa na watu kazi yao ni kunyonya watu damu na story nyingine zinasema walikuwa pia wakichuna ngozi ila sasa kama ni kweli nataka kujua Ilikuwa ni watu binafsi wakifanya hio biashara au walikuwa wakitumwa na serikali? Siamini kama serikali ingeweza kufanya hivyo sio rahisi.
 
Zamani ilisemekana kulikuwa na watu kazi yao ni kunyonya watu damu na story nyingine zinasema walikuwa pia wakichuna ngozi ila sasa kama ni kweli nataka kujua Ilikuwa ni watu binafsi wakifanya hio biashara au walikuwa wakitumwa na serikali? Siamini kama serikali ingeweza kufanya hivyo sio rahisi.
Wanyonya damu ni stori za uongo walikuwa wanapewa wanafunzi ili wawahi nyumbani wasizurule ovyo baada ya kutoka shule.
 
Hadith hadith.....
Hapo zamani za kale Sungura na Fisi walikua marafiki.......

Hadithi yetu inatufundisha kwamba hii hadith ilitungwa na Ngumbaru first class yaani pang'ang'a la kale ambalo lilikufa na watu wakalitambikia kwenye kaburi lake kama li mzimu litakalo watatulia mvua zao kunyesha baada ya kiangazi kikali!

WTF old fork of this!
😁😁
 
Approach mbalimbali zilitumika kuhakikisha stock ya damu salama inakuwepo hivyo hao unasema wanyonya damu ni ilikuwa mpango maalumu ambapo ukikutwa maeneo tatanishi watu walikuwa wanakamata kisha wanachukua damu Kwa ajili ya hifadhi, mtu akitoka hapo na wenge lake anajiona kama amenusurika kumbe wazee wa bank ya damu wamefanya Yao na kuipeleka kunakuhusika Kwa ajili ya matumizi ya Watz wengine.

Baadae ikaonekana sio approach nzuri na kutokana na ongezeko la watu na mahitaji ya damu...ukaja huu utaratibu wa kujitolea damu na kufanya uhamasishaji Kwa wananchi kujenga tabia ya kujitolea kutoa damu
 
Approach mbalimbali zilitumika kuhakikisha stock ya damu salama inakuwepo hivyo hao unasema wanyonya damu ni ilikuwa mpango maalumu ambapo ukikutwa maeneo tatanishi watu walikuwa wanakamata kisha wanachukua damu Kwa ajili ya hifadhi, mtu akitoka hapo na wenge lake anajiona kama amenusurika kumbe wazee wa bank ya damu wamefanya Yao na kuipeleka kunakuhusika Kwa ajili ya matumizi ya Watz wengine.

Baadae ikaonekana sio approach nzuri na kutokana na ongezeko la watu na mahitaji ya damu...ukaja huu utaratibu wa kujitolea damu na kufanya uhamasishaji Kwa wananchi kujenga tabia ya kujitolea kutoa damu
Kumbe CCM mna siri hivyo na hamsemi daa inaonekana kuna mengi Sana wanaharamu nyie mmetufanyia na ndio maaaaaana ahaaaa sawa Qenge nyie tutaona kama nitakuja wapigia kura!

Shabhashhhh!
😁
 
Approach mbalimbali zilitumika kuhakikisha stock ya damu salama inakuwepo hivyo hao unasema wanyonya damu ni ilikuwa mpango maalumu ambapo ukikutwa maeneo tatanishi watu walikuwa wanakamata kisha wanachukua damu Kwa ajili ya hifadhi, mtu akitoka hapo na wenge lake anajiona kama amenusurika kumbe wazee wa bank ya damu wamefanya Yao na kuipeleka kunakuhusika Kwa ajili ya matumizi ya Watz wengine.

Baadae ikaonekana sio approach nzuri na kutokana na ongezeko la watu na mahitaji ya damu...ukaja huu utaratibu wa kujitolea damu na kufanya uhamasishaji Kwa wananchi kujenga tabia ya kujitolea kutoa damu
da! unavyosimulia ulikuwa mmoja wao nini...?
 
Back
Top Bottom