ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wanyonya damu ni stori za uongo walikuwa wanapewa wanafunzi ili wawahi nyumbani wasizurule ovyo baada ya kutoka shule.Zamani ilisemekana kulikuwa na watu kazi yao ni kunyonya watu damu na story nyingine zinasema walikuwa pia wakichuna ngozi ila sasa kama ni kweli nataka kujua Ilikuwa ni watu binafsi wakifanya hio biashara au walikuwa wakitumwa na serikali? Siamini kama serikali ingeweza kufanya hivyo sio rahisi.
Jidanganye ni uongo, popobawa nipo hapa. Toa location jioni nije kukushughulikia.Stori za kijiweni pamoja na ile ya popobawa
Njoo kama sijakuingizia madafuJidanganye ni uongo, popobawa nipo hapa. Toa location jioni nije kukushughulikia.
Kumbe CCM mna siri hivyo na hamsemi daa inaonekana kuna mengi Sana wanaharamu nyie mmetufanyia na ndio maaaaaana ahaaaa sawa Qenge nyie tutaona kama nitakuja wapigia kura!Approach mbalimbali zilitumika kuhakikisha stock ya damu salama inakuwepo hivyo hao unasema wanyonya damu ni ilikuwa mpango maalumu ambapo ukikutwa maeneo tatanishi watu walikuwa wanakamata kisha wanachukua damu Kwa ajili ya hifadhi, mtu akitoka hapo na wenge lake anajiona kama amenusurika kumbe wazee wa bank ya damu wamefanya Yao na kuipeleka kunakuhusika Kwa ajili ya matumizi ya Watz wengine.
Baadae ikaonekana sio approach nzuri na kutokana na ongezeko la watu na mahitaji ya damu...ukaja huu utaratibu wa kujitolea damu na kufanya uhamasishaji Kwa wananchi kujenga tabia ya kujitolea kutoa damu
da! unavyosimulia ulikuwa mmoja wao nini...?Approach mbalimbali zilitumika kuhakikisha stock ya damu salama inakuwepo hivyo hao unasema wanyonya damu ni ilikuwa mpango maalumu ambapo ukikutwa maeneo tatanishi watu walikuwa wanakamata kisha wanachukua damu Kwa ajili ya hifadhi, mtu akitoka hapo na wenge lake anajiona kama amenusurika kumbe wazee wa bank ya damu wamefanya Yao na kuipeleka kunakuhusika Kwa ajili ya matumizi ya Watz wengine.
Baadae ikaonekana sio approach nzuri na kutokana na ongezeko la watu na mahitaji ya damu...ukaja huu utaratibu wa kujitolea damu na kufanya uhamasishaji Kwa wananchi kujenga tabia ya kujitolea kutoa damu
Ni Mungu tu ndo anatuokoaKumbe CCM mna siri hivyo na hamsemi daa inaonekana kuna mengi Sana wanaharamu nyie mmetufanyia na ndio maaaaaana ahaaaa sawa Qenge nyie tutaona kama nitakuja wapigia kura!
Shabhashhhh!
[emoji16]
Ndo umeamua kabisa kunitunuku U-CCMKumbe CCM mna siri hivyo na hamsemi daa inaonekana kuna mengi Sana wanaharamu nyie mmetufanyia na ndio maaaaaana ahaaaa sawa Qenge nyie tutaona kama nitakuja wapigia kura!
Shabhashhhh!
😁
Aisee! Kama ulikuwa hujazaliwa bado uliza ujuzwe.Stori za kijiweni pamoja na ile ya popobawa
SawaAisee! Kama ulikuwa hujazaliwa bado uliza ujuzwe.