Naomba kujua utaratibu wa Kumtoa Mtu kwenye Orodha ya wanufaika wa Bima ya Afya

Naomba kujua utaratibu wa Kumtoa Mtu kwenye Orodha ya wanufaika wa Bima ya Afya

Sasa mbona umesha pewa utaratibu
Tofauti na Waislam dini zingine hazina TALAKA, sasa watahakikishaje kuwa mmeachana?
Ndio sababu ukapewa huo utaratibu mbadala badala ya kukutaka ulete cheti cha talaka
Ila kama hujapata mbadala, nakushauri umuache tu aendelee kupata huduma kwani haikupunguzii chochote...
Mkuu Acha kukalili wewe,ni dini gani ambayo haina taraka!?
 
Back
Top Bottom