Naomba kujua walipo waimbaji wa kwaya ya Ulyankulu Bara barabara ya 13

Ilitoka miaka ya 90 katikati huko, Ilivumaga sana kwa kweli,
Ndio zilikuwa nyimbo bora za wakati huo
 
Jaribu kucheki YouTube
 
Kwangu mpambano uwe

Mapigano ulyankulu barabara ya 22

Vs

kwaya ya Unlyahulu barabara ya 13

Ingawa kwangu wote wakati mnoooo





Ilinichukua miaka mingi Sana kutofautisha hizi kwaya, Ni mwaka huu tu ndo nimejua kutofaitisha.

Binafsi nawakubali MAPIGANO na albam zao za MWENYE MAMLAKA, FAHARI YA VIJANA, MICHEZO, SISI NI BARUA n.k
 
Ilinichukua miaka mingi Sana kutofautisha hizi kwaya, Ni mwaka huu tu ndo nimejua kutofaitisha.

Binafsi nawakubali MAPIGANO na albam zao za MWENYE MAMLAKA, FAHARI YA VIJANA, MICHEZO, SISI NI BARUA n.k


Hata mimi ilikuwa ngumu sana kuzitenganisha . Hata kwangu mimi mapigano ulyankulu nawakubali mnoo




 
Aisee ni kweli,kujua hizo nyimbo lazima uwe kwenye familia ya utumishi au anamjua Mungu,enzi hizo nilikuwa nazunguka na mzee kwenye mikutano ya Injili,usiku kuanzia saa moja nawasha jenereta naweka tapes za hizo nyimbo halafu mida ya saa mbili mkanda wa Mateso ya Yesu au Samson & na delila tunaweka,l.

Basi watu wanajaa,pale kwenye mateso ya watu wanaanza kulia na kutubu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilitoka miaka ya 90 katikati huko, Ilivumaga sana kwa kweli,
Ndio zilikuwa nyimbo bora za wakati huo
Sidhani kama ni mid 90s,

Sababu ipo video youtube mzee mmoja kati ya wale walioimba kwaya anaeleza.nyimbo ya katika viumbe vyote imetungwa mwaka 1979,na eneo lilipokuwa kanisa pamekuwa pori.so album kama ilichelewa sana itakuwa ilitoka 1982-1985.
 
Sidhani kama ni mid 90s,

Sababu ipo video youtube mzee mmoja kati ya wale walioimba kwaya anaeleza.nyimbo ya katika viumbe vyote imetungwa mwaka 1979,na eneo lilipokuwa kanisa pamekuwa pori.so album kama ilichelewa sana itakuwa ilitoka 1982-1985.
Thanks
 
Wale walikuwa wanajua kuimba
Pia kuna wale wa Arusha mjini miaka ile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kwanya iliundwa na wakimbizi kutoka burundi waliokua wakiishi ulyankuru tabora, mwanzoni mwa miaka ya 2000 serikali iliwahamisha na kuwapeleka kambi za kigoma ikiwemo nduta, kanembwa na nyarugusu, baadhi walipata nafasi za kwenda ulaya, australia na amerika kupitia unhcr na wengine kurudi kwao burudi, nilikua nafanya biashara na baadhi yao na bado tunawasiliana hata baada ya kwenda majuu, huwa wananitumia hela nawanunulia bidhaa kama nguo, dagaa na vyombo vya nyumbani, unaweza kushangaa kusikia mtu yuko us ila ananunua nguo na vyombo afrika ila ndio hali halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye youtube pia wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…