Naomba kujulishwa taratibu za kubadili uraia kutoka kuwa mtanzania bara na kuwa mzanzibari

Naomba kujulishwa taratibu za kubadili uraia kutoka kuwa mtanzania bara na kuwa mzanzibari

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Wakuu naomba kwa yeyote anayejua anisaidie namna ya kuhama kutoka kuwa mtanzania wa Tanzania bara na kuwa mtanzania wa Zanzibar yaani kuwa mzanzibari

Nataka kuwa mzanzibari wa kuhamia ili niwe na haki ya kumiliki ardhi kule na Tanzania bara pia, kugombea uongozi kule na nafasi za Muungano kama utais lakini pia niweze kugombea ubunge kule ili niweze kuteuliwa kuwa waziri katika wizara za muungano na zisizo za muungano kama ilivyo kwa Makame Mbarawa anayeongoza wizara isiyo ya muungano ambayo ni ya Tanzania bara lakini kwa mtu kutoka Tanzania bara hawezi kuteuliwa kuongoza wizara Zanzibar.
Nikiwa mzanzibari naweza kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya Zanzibar au Tanzania bara kama ilivyo kwa Shaka ambaye ni DC huku Tanzania bara lakini hakuna mtanzania bara anayeweza kuwa Sheha, DC au RC kule Zanzibar.

Nataka kuwa mzanzibari kwakuwa wazanzibari wanajitambua sana linapokuja suala la nchi yao na uraia wao tofauti na watanganyika waoga hawataki kuwepo kwa Tanganyika yao utadhani ikiwepo watakufa wote. Ni watu waoga sana na hawaipendi asili na nchi yao kama wazanzibari. Naombeni meongozo wa kuachana na Tanganyika nimechoka kuionea aibu nchi yangu bora nihame kabisa. Kumbukeni KILA MZANZIBARI NI MTANZANIA LAKINI SI KILA MTANZANIA NI MZANZIBARI. Naombeni wazanzibari mnipoker nije kushirikiana nanyi kuipigania Zanzibar
 
Wakuu naomba kwa yeyote anayejua anisaidie namna ya kuhama kutoka kuwa mtanzania wa Tanzania bara na kuwa mtanzania wa Zanzibar yaani kuwa mzanzibari

Nataka kuwa mzanzibari wa kuhamia ili niwe na haki ya kumiliki ardhi kule na Tanzania bara pia, kugombea uongozi kule na nafasi za Muungano kama utais lakini pia niweze kugombea ubunge kule ili niweze kuteuliwa kuwa waziri katika wizara za muungano na zisizo za muungano kama ilivyo kwa Makame Mbarawa anayeongoza wizara isiyo ya muungano ambayo ni ya Tanzania bara lakini kwa mtu kutoka Tanzania bara hawezi kuteuliwa kuongoza wizara Zanzibar.
Nikiwa mzanzibari naweza kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya Zanzibar au Tanzania bara kama ilivyo kwa Shaka ambaye ni DC huku Tanzania bara lakini hakuna mtanzania bara anayeweza kuwa Sheha, DC au RC kule Zanzibar.

Nataka kuwa mzanzibari kwakuwa wazanzibari wanajitambua sana linapokuja suala la nchi yao na uraia wao tofauti na watanganyika waoga hawataki kuwepo kwa Tanganyika yao utadhani ikiwepo watakufa wote. Ni watu waoga sana na hawaipendi asili na nchi yao kama wazanzibari. Naombeni meongozo wa kuachana na Tanganyika nimechoka kuionea aibu nchi yangu bora nihame kabisa. Kumbukeni KILA MZANZIBARI NI MTANZANIA LAKINI SI KILA MTANZANIA NI MZANZIBARI. Naombeni wazanzibari mnipoker nije kushirikiana nanyi kuipigania Zanzibar
Zanzibar hakuna vita utapigania nini
 
Nilivutiwa sana na kichwa cha mada yako: " Naomba kujulishwa taratibu za kubadili uraia kutoka kuwa mtanzania bara na kuwa mzanzibari"
Hili pekee lingejitosheleza sana kwa mjadala wa mada hii bila ya kuweka hayo maelezo mengine, ambayo nadhani yamepanuwa sana mada na kuififisha.

Mimi nilivutiwa na hiki kichwa cha mada, kwa sababu sijui taratibu zikoje, mtu ukitaka kuwa mZanzibari ukiwa unatokea Tanganyika.

Wenye kujuwa utaratibu huo tafadhali uelezeni kwenye mada hii.
 
Wakuu naomba kwa yeyote anayejua anisaidie namna ya kuhama kutoka kuwa mtanzania wa Tanzania bara na kuwa mtanzania wa Zanzibar yaani kuwa mzanzibari

Nataka kuwa mzanzibari wa kuhamia ili niwe na haki ya kumiliki ardhi kule na Tanzania bara pia, kugombea uongozi kule na nafasi za Muungano kama utais lakini pia niweze kugombea ubunge kule ili niweze kuteuliwa kuwa waziri katika wizara za muungano na zisizo za muungano kama ilivyo kwa Makame Mbarawa anayeongoza wizara isiyo ya muungano ambayo ni ya Tanzania bara lakini kwa mtu kutoka Tanzania bara hawezi kuteuliwa kuongoza wizara Zanzibar.
Nikiwa mzanzibari naweza kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya Zanzibar au Tanzania bara kama ilivyo kwa Shaka ambaye ni DC huku Tanzania bara lakini hakuna mtanzania bara anayeweza kuwa Sheha, DC au RC kule Zanzibar.

Nataka kuwa mzanzibari kwakuwa wazanzibari wanajitambua sana linapokuja suala la nchi yao na uraia wao tofauti na watanganyika waoga hawataki kuwepo kwa Tanganyika yao utadhani ikiwepo watakufa wote. Ni watu waoga sana na hawaipendi asili na nchi yao kama wazanzibari. Naombeni meongozo wa kuachana na Tanganyika nimechoka kuionea aibu nchi yangu bora nihame kabisa. Kumbukeni KILA MZANZIBARI NI MTANZANIA LAKINI SI KILA MTANZANIA NI MZANZIBARI. Naombeni wazanzibari mnipoker nije kushirikiana nanyi kuipigania Zanzibar
Kuwa raia zanzibar ni simple kabisa. Ni wewe kuishi miaka mi 3 pale unapata na namba ya uraia kabisa na kitambulisho cha uraia unapewa
 
1. Badili jina uitwe Cholo ( Nassor ) au Chid (Rashid)

2. Tengeneza chogo, sijui utalitengenezaje.

3. Meno ya mbele yachomoze nje kama sungura.

4. Kila baada ya sentesi mbili sema wewe ndugu zako wapo Oman.

5. Kila fursa utakayopata ongea shiti kuhusu wabara.

Ukifanikiwa hayo ya juu basi tayari umepata uraia wa ZNZ.
 
Wakuu naomba kwa yeyote anayejua anisaidie namna ya kuhama kutoka kuwa mtanzania wa Tanzania bara na kuwa mtanzania wa Zanzibar yaani kuwa mzanzibari

Nataka kuwa mzanzibari wa kuhamia ili niwe na haki ya kumiliki ardhi kule na Tanzania bara pia, kugombea uongozi kule na nafasi za Muungano kama utais lakini pia niweze kugombea ubunge kule ili niweze kuteuliwa kuwa waziri katika wizara za muungano na zisizo za muungano kama ilivyo kwa Makame Mbarawa anayeongoza wizara isiyo ya muungano ambayo ni ya Tanzania bara lakini kwa mtu kutoka Tanzania bara hawezi kuteuliwa kuongoza wizara Zanzibar.
Nikiwa mzanzibari naweza kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya Zanzibar au Tanzania bara kama ilivyo kwa Shaka ambaye ni DC huku Tanzania bara lakini hakuna mtanzania bara anayeweza kuwa Sheha, DC au RC kule Zanzibar.

Nataka kuwa mzanzibari kwakuwa wazanzibari wanajitambua sana linapokuja suala la nchi yao na uraia wao tofauti na watanganyika waoga hawataki kuwepo kwa Tanganyika yao utadhani ikiwepo watakufa wote. Ni watu waoga sana na hawaipendi asili na nchi yao kama wazanzibari. Naombeni meongozo wa kuachana na Tanganyika nimechoka kuionea aibu nchi yangu bora nihame kabisa. Kumbukeni KILA MZANZIBARI NI MTANZANIA LAKINI SI KILA MTANZANIA NI MZANZIBARI. Naombeni wazanzibari mnipoker nije kushirikiana nanyi kuipigania Zanzibar
Kwanza Lazima Uwe Raia Wa Tanzania na Pili Lazima Ukae Zanzibar si chini ya Miaka 15..
Hiyo ni Kutokana Na sheria namba 5 ya mwaka 1985 au Maarufu kama Sheria ya Mzanzibari..
Screenshot_20240501_173439_Adobe Acrobat.jpg

Screenshot_20240501_173507_Adobe Acrobat.jpg

Screenshot_20240501_185307_Adobe Acrobat.jpg

Screenshot_20240501_185404_Adobe Acrobat.jpg
 
Nilivutiwa sana na kichwa cha mada yako: " Naomba kujulishwa taratibu za kubadili uraia kutoka kuwa mtanzania bara na kuwa mzanzibari"
Hili pekee lingejitosheleza sana kwa mjadala wa mada hii bila ya kuweka hayo maelezo mengine, ambayo nadhani yamepanuwa sana mada na kuififisha.

Mimi nilivutiwa na hiki kichwa cha mada, kwa sababu sijui taratibu zikoje, mtu ukitaka kuwa mZanzibari ukiwa unatokea Tanganyika.

Wenye kujuwa utaratibu huo tafadhali uelezeni kwenye mada hii.
Soma Post hapo Juu no 15
 
Back
Top Bottom