Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 960
- 927
Wao kuwa na Ukaazi wa Bara inawachukua muda gani? Kwanini kuna hii double standard?Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu!. Uzanzibari ukaazi sio uraia, ni utambulisho tuu. Jinsi ya kuupata Uzanzibari ukaazi, uwe umekaa Zanzibar kwa miaka 15 mfululizo, unapewa kitambulisho cha ukaazi wa Zanzibar kama alivyoeleza Dr. mambo jambo.
Karibu.
P.