Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Umeambiwa miaka 15 na kielelezo ndo hiko. Mm nimepata kwa miaka mitatu tuTuwekee vielelezo basi, kama alivyofanya mkuu 'DR MAMBO' kwenye bandiko lake #15!
Kwani DINI, kama ilivyo URAIA; si hivi ni vitu vya kubadili tu!Kabla hatujakupa utaratibu sababu hatutaki kunajisi ardhi yetu na uraia wetu je wewe ni Dini gani ?!
Hapana, mkuu 'Kalaga baho", sheria ni sheria, kama kuna sifa maalum iliyokupa wewe uraia tofauti na sheria inavyo sema, si unaeleza tu na watu wataelewa? Kwa mfano: kama wewe ulipewa upendeleo kwa sababu ya ujuvi wako wa mambo yanayohitajika sana ndani ya nchi hiyo, si unasema tu na kila mtu ataelewa?Umeambiwa miaka 15 na kielelezo ndo hiko. Mm nimepata kwa miaka mitatu tu
So, appreciate the difference! Hatuwez kufanana
Umeambiwa miaka 15 na dokta hapo juu. Mimi niseme nini na kusema hakuna?Hapana, mkuu 'Kalaga baho", sheria ni sheria, kama kuna sifa maalum iliyokupa wewe uraia tofauti na sheria inavyo sema, si unaeleza tu na watu wataelewa? Kwa mfano: kama wewe ulipewa upendeleo kwa sababu ya ujuvi wako wa mambo yanayohitajika sana ndani ya nchi hiyo, si unasema tu na kila mtu ataelewa?
Kwa nini ni-'appreciate' wakati sijaelezwa chochote?
Bila kuwa muislamu hupati uraia
Asilimia kubwa sana tena na waislam so itapendeza raia wakabaki majority ni waislam ..dini nyengine unakaribishwa kama mwekezaji ..Kwani DINI, kama ilivyo URAIA; si hivi ni vitu vya kubadili tu!
Wekeni kifungu kinachoonyesha takwa la dini katika sheria hiyo, na watu watafuata matakwa hayo wanaoupenda uraia huo.
Lakini niseme wazi, hili uliloweka hapa ni kama utani utani vile, lakini kumbe ndio uhalisia wenyewe!
Angalia maneno unayo tumia: "KUNAJISI ardhi yenu". Binaadam mwingine "anajisi"; nyinyi ni binaadam wa namna gani nyinyi?
Basi nimekuelewa, kwamba wewe unadanganya.Umeambiwa miaka 15 na dokta hapo juu. Mimi niseme nini na kusema hakuna?
Dah! Kwa huu Muungano wa changu changu, chako changu! Utaishia tu kubaguliwa.Wakuu naomba kwa yeyote anayejua anisaidie namna ya kuhama kutoka kuwa mtanzania wa Tanzania bara na kuwa mtanzania wa Zanzibar yaani kuwa mzanzibari
Nataka kuwa mzanzibari wa kuhamia ili niwe na haki ya kumiliki ardhi kule na Tanzania bara pia, kugombea uongozi kule na nafasi za Muungano kama utais lakini pia niweze kugombea ubunge kule ili niweze kuteuliwa kuwa waziri katika wizara za muungano na zisizo za muungano kama ilivyo kwa Makame Mbarawa anayeongoza wizara isiyo ya muungano ambayo ni ya Tanzania bara lakini kwa mtu kutoka Tanzania bara hawezi kuteuliwa kuongoza wizara Zanzibar.
Nikiwa mzanzibari naweza kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya Zanzibar au Tanzania bara kama ilivyo kwa Shaka ambaye ni DC huku Tanzania bara lakini hakuna mtanzania bara anayeweza kuwa Sheha, DC au RC kule Zanzibar.
Nataka kuwa mzanzibari kwakuwa wazanzibari wanajitambua sana linapokuja suala la nchi yao na uraia wao tofauti na watanganyika waoga hawataki kuwepo kwa Tanganyika yao utadhani ikiwepo watakufa wote. Ni watu waoga sana na hawaipendi asili na nchi yao kama wazanzibari. Naombeni meongozo wa kuachana na Tanganyika nimechoka kuionea aibu nchi yangu bora nihame kabisa. Kumbukeni KILA MZANZIBARI NI MTANZANIA LAKINI SI KILA MTANZANIA NI MZANZIBARI. Naombeni wazanzibari mnipoker nije kushirikiana nanyi kuipigania Zanzibar
Safi sana kwa kuziona fursa lukuki Zanzibar na umeamua kutumia haki yako ya Kikatiba kuzifukuzia huko huko Zanzibar.Mungu akujalie ufanikishe maono yako.Wakuu naomba kwa yeyote anayejua anisaidie namna ya kuhama kutoka kuwa mtanzania wa Tanzania bara na kuwa mtanzania wa Zanzibar yaani kuwa mzanzibari
Nataka kuwa mzanzibari wa kuhamia ili niwe na haki ya kumiliki ardhi kule na Tanzania bara pia, kugombea uongozi kule na nafasi za Muungano kama utais lakini pia niweze kugombea ubunge kule ili niweze kuteuliwa kuwa waziri katika wizara za muungano na zisizo za muungano kama ilivyo kwa Makame Mbarawa anayeongoza wizara isiyo ya muungano ambayo ni ya Tanzania bara lakini kwa mtu kutoka Tanzania bara hawezi kuteuliwa kuongoza wizara Zanzibar.
Nikiwa mzanzibari naweza kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya Zanzibar au Tanzania bara kama ilivyo kwa Shaka ambaye ni DC huku Tanzania bara lakini hakuna mtanzania bara anayeweza kuwa Sheha, DC au RC kule Zanzibar.
Nataka kuwa mzanzibari kwakuwa wazanzibari wanajitambua sana linapokuja suala la nchi yao na uraia wao tofauti na watanganyika waoga hawataki kuwepo kwa Tanganyika yao utadhani ikiwepo watakufa wote. Ni watu waoga sana na hawaipendi asili na nchi yao kama wazanzibari. Naombeni meongozo wa kuachana na Tanganyika nimechoka kuionea aibu nchi yangu bora nihame kabisa. Kumbukeni KILA MZANZIBARI NI MTANZANIA LAKINI SI KILA MTANZANIA NI MZANZIBARI. Naombeni wazanzibari mnipoker nije kushirikiana nanyi kuipigania Zanzibar
Mjadala wa aina hii huwa ni mgumu sana kwangu. Basi, tuuache ulivyo kwa sasa.Asilimia kubwa sana tena na waislam so itapendeza raia wakabaki majority ni waislam ..dini nyengine unakaribishwa kama mwekezaji ..
Swali zuri.Kabla hatujakupa utaratibu sababu hatutaki kunajisi ardhi yetu na uraia wetu je wewe ni Dini gani ?!
Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu!. Uzanzibari ukaazi sio uraia, ni utambulisho tuu. Jinsi ya kuupata Uzanzibari ukaazi, uwe umekaa Zanzibar kwa miaka 15 mfululizo, unapewa kitambulisho cha ukaazi wa Zanzibar kama alivyoeleza Dr. mambo jambo.Nataka kuwa mzanzibari kwakuwa wazanzibari wanajitambua sana linapokuja suala la nchi yao na uraia wao tofauti na watanganyika waoga hawataki kuwepo kwa Tanganyika yao utadhani ikiwepo watakufa wote. Ni watu waoga sana na hawaipendi asili na nchi yao kama wazanzibari. Naombeni meongozo wa kuachana na Tanganyika nimechoka kuionea aibu nchi yangu bora nihame kabisa. Kumbukeni KILA MZANZIBARI NI MTANZANIA LAKINI SI KILA MTANZANIA NI MZANZIBARI. Naombeni wazanzibari mnipoker nije kushirikiana nanyi kuipigania Zanzibar
Ukweli ni kwamba muungano ni zaidi ya kuwa "kero" za kawaida.Dah! Kwa huu Muungano wa changu changu, chako changu! Utaishia tu kubaguliwa.
Mbona mko hauko straight,ona kona nyingi mkuu.Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu!. Uzanzibari ukaazi sio uraia, ni utambulisho tuu. Jinsi ya kuupata Uzanzibari ukaazi, uwe umekaa Zanzibar kwa miaka 15 mfululizo, unapewa kitambulisho cha ukaazi wa Zanzibar kama alivyoeleza Dr. mambo jambo.
Karibu.
P.
"Uzanzibar ukaazi" ndio unaozungumziwa kwenye hiyo sheria iliyotungwa na baraza la wawakilishaji; kama ilivyo elezwa hapo juu #15, au siyo?Uzanzibari ukaazi sio uraia
Labda."Uzanzibar ukaazi" ndio unaozungumziwa kwenye hiyo sheria iliyotungwa na baraza la wawakilishaji; kama ilivyo elezwa hapo juu #15, au siyo?
Na waziri wa Serikali ya Mapinduzi, bado anaweza kukuondoa ndani ya nchi hiyo hata ukiwa umeishi huko zaidi ya hiyo miaka 15. Unakuwa 'deported' toka ndani ya "nchi moja" kama unavyoeleza kwenye maneno machache hapo juu. Maana yake, sheria ya huko ina mamlaka zaidi ya hiyo sheria ya "nchi moja" ya kusadikika!
Okay, labda nihitimishe hivi ili kupata mantiki ya swala hili:
URAIA ni swala la Muungano; UKAAZI, ni swala la nchi ya Zanzibar. Got It!
Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu, Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT, yenye utawala wake wa ndani na utambulisho wake wa ndani uitwao ukaazi, sio uraia, ni utambulisho tuu!.URAIA ni swala la Muungano; UKAAZI, ni swala la nchi ya Zanzibar. Got It!
Lakini wana Katiba ya Zanzibar ya 1984,wana Bunge maarufu kama Baraza la Wawakilishi,wana Mahakama,wana Nembo yao ya Taifa la Zanzibar,wana wimbo wa Taifa la Zanzibar,wana Bendera yao na mipaka.Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu, Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT, yenye utawala wake wa ndani na utambulisho wake wa ndani uitwao ukaazi, sio uraia, ni utambulisho tuu!.
P
Hapana, uraia ndio kitu kikubwa kuliko ukaazi, naendelea kusisitiza, Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT, kwa maoni yangu, kuiita nchi yako kuwa ni nchi ya kusadikika ni upungufu wa uzalendo.sheria ya huko ina mamlaka zaidi ya hiyo sheria ya "nchi moja" ya kusadikika!
yes, kuwa na hivyo vyote, hakuifanyi Zanzibar kuwa nchi, ili sehemu fulani kuwa ni nchi lazima iwe na kitu kinachoitwa "sovereignty" Zanzibar haina!, sovereignty ni ya JMT, pekee!.Lakini wana Katiba ya Zanzibar ya 1984,wana Bunge maarufu kama Baraza la Wawakilishi,wana Mahakama,wana Nembo yao ya Taifa la Zanzibar,wana wimbo wa Taifa la Zanzibar,wana Bendera yao na mipaka.