Naomba kujulishwa taratibu za kubadili uraia kutoka kuwa mtanzania bara na kuwa mzanzibari

Wao kuwa na Ukaazi wa Bara inawachukua muda gani? Kwanini kuna hii double standard?
 
Wao kuwa na Ukaazi wa Bara inawachukua muda gani? Kwanini kuna hii double standard?
Bara hakuna ukaazi ni uraia wa JMT. Kwa vile Tanzania ni nchi moja yenye uraia mmoja, kila raia wa Tanzania, ana haki zote za Utanzania, bila kujali ni mbara au Mzanzibari. Hii maana yake Tanzania ni ya wote na A,Utanzania ni wa wote, ila Uzanzibari ni kwa Wanzanzibari wakaazi pekee.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…