Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu!. Uzanzibari ukaazi sio uraia, ni utambulisho tuu. Jinsi ya kuupata Uzanzibari ukaazi, uwe umekaa Zanzibar kwa miaka 15 mfululizo, unapewa kitambulisho cha ukaazi wa Zanzibar kama alivyoeleza
Dr. mambo jambo.
Karibu.
P.