Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea.Kuna wale ambao unaingia nae mkataba,anakukabidhi nyumba.Yeyey anweka hela yake.We unachofanya ni kumpa deposit na mnakuwa na payment plan yeye anapiga kazi.Anakuwa tayari na mtaji.Hawa huwa wanaangalia ukubwa wa built up area kisha anakupa BOQ etc na bei etc.Last time nilipewa estima 400k per sqm yaani kuanzia msingi mpaka kuhamia so ka built area yako ni 100sqm basi ni 40 Milion mpaka unahamia.
Kusema kweli ndugu ubora wa kazi pande zote mbili unaweza kupatikana kwa wastani mmoja, hawa wamtaani wanaowatumia baadhi wanawapa kazi moja kwa moja ama wanakuwa na msimamizi injinia, nilichojifunza kwenye taaluma hii uaminifu ni mdogo itoshe tu kusema kama unachukua kampuni hakikisha ni kampuni inayoeleweka, unaweza kupigwa pesa nyingi na kazi isiwe vile unataka.Nashukuru sana mkuu, hii imenipa mwanga!
Naangalia uwezekano wa kutoa ka-ghorofa cha floor moja ila sina imani na mafundi wa mtaani.
Ndo naona bora nijue bei ya kufanya kitu roho ikiwa na amani.
Kujenga Ghorofa au? Maana mkandarasi lazima muingie mkataba ambao una mambo meeengi yakimaliziwa na mchanganuo wa gharama za kazi, vifaa, nyezo zitakazotumika nk.Habari wakuu,
Wakati najipanga hapa nikaona niombe mchango wa mawazo na uzoefu wenu....
Kujenga Gorofa au? Maana mkandarasi lazima muingie mkataba ambao una mambo meeengi yakimaliziwa na mchanganuo wa gharama za kazi, vifaa, nyezo zitakazotumika nk..na katika hao wakandarasi wanatofautiana madaraja, kuna wakandarasi wa daraja la 1 mpaka daraja la 7. Kwa kifupi kila mkandarasi atakuletea gharama zake maana utatakiwa uwakabidhi BOQ waijaze.
Kusema kweli ndugu ubora wakazi pande zote mbili unaweza kupatikana kwa wastani mmoja hawa wamtaani wanaowatumia baadhi wanawapa kazi mojakwamoja ama wanakuwa na msimamizi injinia nilichojifunza kwenye taaruma hii uaminifu nimdogo itoshe tu kusema kama unachukua kampuni hakikisha nikampuni inayoeleweka unaweza kupigwa pesa nyingi nakazi isiwe vile unataka
Kweli mkuu lazima uchukue tahadhali ila kama hutajali, kuna ndugu yangu nifundi ameanzia mtaani lakini akaja kupata nafasi kusimamia kwenye majengo makubwa. Sisemi mengi juu yake ama sisemi umpe kazi ila naamini angekupa mwanga kwenye hicho unataka kufanya, tunajaribu kupeana njia tu mkuu ukifanikiwa leo hata mm kama mpenda maendeleo nitafurahiKweli uaminifu mdogo sana kwa mafundi wetu hawa. Nyumba naziona mtaani hapa, baada ya mwaka tu nyumba ina nyufa kibao.
Habari wakuu,
Wakati najipanga hapa nikaona niombe mchango wa mawazo na uzoefu wenu.
Bila shaka wapo ambao mnafahamu gharama ya kumtumia mkandarasi kujenga, walau kwa kukisia tu.
Nashukuru sana kwa mchango wenu.
Swali lako halijajitosheleza, ukisema gharama ya kujenga na mkandarasi huwezi kujibiwa kwasababu hakuna anaejua unajenga nini? choo, banda la kuku, chumba kimoja, kiwanda, barabara, mtaro , daraja, kisima pia cha ukubwa gani?. swali lako halijawa swali bado
Ni vizuri, maana mkandarasi lazima ahakikishe anakabidhi kazi nzuri kabla hajalipwa maana akilipua halipwi mpaka arekebishe.Kweli uaminifu mdogo sana kwa mafundi wetu hawa. Nyumba naziona mtaani hapa, baada ya mwaka tu nyumba ina nyufa kibao.
Inategemea Kuna wale ambao unaingia nae mkataba,anakukabidhi nyumba.Yeye anweka hela yake.We unachofanya ni kumpa deposit na mnakuwa na payment plan yeye anapiga kazi.Anakuwa tayari na mtaji.
Hawa huwa wanaangalia ukubwa wa built up area kisha anakupa BOQ etc na bei etc. Last time nilipewa estima 400k per sqm yaani kuanzia msingi mpaka kuhamia so ka built area yako ni 100sqm basi ni 40 Milion mpaka unaham
Bwana bwana pamoja na huyo injinia hakikisha wewe mwenyewe unasimamia pia.Nashukuru sana mkuu, hii imenipa mwanga!
Naangalia uwezekano wa kutoa ka-ghorofa cha floor moja ila sina imani na mafundi wa mtaani.
Ndo naona bora nijue bei ya kufanya kitu roho ikiwa na amani.
Local fundis atakusumbua mwanzo-mwisho. Sijui Mama anaumwa,. Sijui nimefiwaNashukuru sana mkuu, hii imenipa mwanga!
Naangalia uwezekano wa kutoa ka-ghorofa cha floor moja ila sina imani na mafundi wa mtaani.
Ndio naona bora nijue bei ya kufanya kitu roho ikiwa na amani.
Local fundis atakusumbua mwanzo-mwisho. Sijui Mama anaumwa,. Sijui nimefiwa
Sihitaji kuzifahamuGharama unazifahamu sasa kaka za mkandalasi?
Sihitaji kuzifahamu