Hayo ni makadirio tu haitaji watu kuogopa, shida nae kapoga picha ramani picha imefifia hata vipimo havionekaniushauri tu awe na hiyo kitu. kuna chuma zinasukwa chini (base) na kuzunguka msigi wote, kuna tofali zinazikwa kozi zaidi ya saba za kulaza, kuna mkanda unapigwa mzunguko wote, kuna zege chini kwenye base na huo mkanda, kuna kifusi cha kujaza, kuna framework za kufunga na mambo ya mafundi. Basically, ata cement. mchanga, na kokoto zote zimepanda
Unataka kujenga kwa kutumia columns au bila columns?Wakuu hii imekosa majibu humu?
Hii haiwezi zidi 25million.Raman hii hapaView attachment 2266648
Najenga dar mkuu,Eneo Kuna kimuinuko kidogo ila ni tambalale muinuko unaweza kuwa ignored kabisaI think unahitaji kusema zaidi unaijenga wapi maana gharama za Dar ni tofauti na mbeya, Moshi au Dodoma.
Nguzo napandiaha 12mm tu,na chini ya nguzo naweka base zilazi nguzoNatumia uzoefu wangu maana vipimo havionekani vizuri. Hapo roughly andaa 15M mpaka 17M kutegemea na mahali ulipo bei ya materials ikoje na utatumia njia ipi kujenga i.e mkandarasi (kampuni), fundi maiko au utanunua materials na kumtafuta mtaalam (engineers) akujengee.
Vipimo vingeonekana ningekusaidia vizuri zaidi mkuu.
Nanunua material nampatia fundi anajenga,yakipungua nanunua namletea tu,simpi pesa mkononi ya material.Natumia uzoefu wangu maana vipimo havionekani vizuri. Hapo roughly andaa 15M mpaka 17M kutegemea na mahali ulipo bei ya materials ikoje na utatumia njia ipi kujenga i.e mkandarasi (kampuni), fundi maiko au utanunua materials na kumtafuta mtaalam (engineers) akujengee.
Vipimo vingeonekana ningekusaidia vizuri zaidi mkuu.
Hakunaga Engineer anayejenga, Engineer huwatumia hao hao mafundi Maiko, tofauti ni kuwa yeye anafatilia ratios na hesabu vizuriNatumia uzoefu wangu maana vipimo havionekani vizuri. Hapo roughly andaa 15M mpaka 17M kutegemea na mahali ulipo bei ya materials ikoje na utatumia njia ipi kujenga i.e mkandarasi (kampuni), fundi maiko au utanunua materials na kumtafuta mtaalam (engineers) akujengee.
Vipimo vingeonekana ningekusaidia vizuri zaidi mkuu.
HongeraNimeanza rasmi Jana, nitaleta MREJESHO hapa inshaalah
Unaweza kunikadiria yangu mkuu. Ina upana wa 17' na marefu 21 eneo pia ni tambarare...hadi sasa tayari nimeshakusanya Nondo mm 16 Tani 2; Nondo MM 8 ziko 100, Mchanga CBM 70, Kokoto nene CBM 50, Tofali 6' ziko 2,500, Misumari nchi 3 na 4 kigunia kimoja kimoja, binding wire roller moja na marine boards ziko 10. Mkuu hapo nimebakiza nini ili nikamilishe msingi peke yake hadi hatua ya kufuta kiti na kuachia matoleo ya nondo. Plani yangu nataka nimtumie Fundi Maiko. Tafadhali naomba makadirio yako...hizi BOQ nimegundua zimekuwa zinadanganya sana... TafadhaliNi kweli chuma iko juu Sana, Ila 50M ni mbali Sana mkuu. Hiyo ramani yake hata sio kubwa kivile.
Nimejenga msingi mkubwa kuzidi huo kwa size na ugumu wa mazingira. Ila umekula around 22M, tena ni mkoa wenye vitu bei juu zaidi.
Ungetoa mchoro tungesaidia, mpaka Sasa Nina uzoefu kiasi flaniUnaweza kunikadiria yangu mkuu. Ina upana wa 17' na marefu 21 eneo pia ni tambarare...hadi sasa tayari nimeshakusanya Nondo mm 16 Tani 2; Nondo MM 8 ziko 100, Mchanga CBM 70, Kokoto nene CBM 50, Tofali 6' ziko 2,500, Misumari nchi 3 na 4 kigunia kimoja kimoja, binding wire roller moja na marine boards ziko 10. Mkuu hapo nimebakiza nini ili nikamilishe msingi peke yake hadi hatua ya kufuta kiti na kuachia matoleo ya nondo. Plani yangu nataka nimtumie Fundi Maiko. Tafadhali naomba makadirio yako...hizi BOQ nimegundua zimekuwa zinadanganya sana... Tafadhali
Ungetoa mchoro tungesaidia, mpaka Sasa Nina uzoefu kiasi flani
Ipakue hiyo hapo mtaalamUngetoa mchoro tungesaidia, mpaka Sasa Nina uzoefu kiasi flani
Haya bhana, Inaonekana wewe ni expert mkubwa wa ujenzi.Hakunaga Engineer anayejenga, Engineer huwatumia hao hao mafundi Maiko, tofauti ni kuwa yeye anafatilia ratios na hesabu vizuri
Sitatoa mchanganuo sababu Kuna vitu tayari umeshaviandaa. Ila roughly andaa Kati 22M mpaka 26M kwa kila kitu. Ila sababu baadhi ya vitu tayari unavyo, mzigo utapungua.Unaweza kunikadiria yangu mkuu. Ina upana wa 17' na marefu 21 eneo pia ni tambarare...hadi sasa tayari nimeshakusanya Nondo mm 16 Tani 2; Nondo MM 8 ziko 100, Mchanga CBM 70, Kokoto nene CBM 50, Tofali 6' ziko 2,500, Misumari nchi 3 na 4 kigunia kimoja kimoja, binding wire roller moja na marine boards ziko 10. Mkuu hapo nimebakiza nini ili nikamilishe msingi peke yake hadi hatua ya kufuta kiti na kuachia matoleo ya nondo. Plani yangu nataka nimtumie Fundi Maiko. Tafadhali naomba makadirio yako...hizi BOQ nimegundua zimekuwa zinadanganya sana... Tafadhali
Unajenga GHOROFA?Unaweza kunikadiria yangu mkuu. Ina upana wa 17' na marefu 21 eneo pia ni tambarare...hadi sasa tayari nimeshakusanya Nondo mm 16 Tani 2; Nondo MM 8 ziko 100, Mchanga CBM 70, Kokoto nene CBM 50, Tofali 6' ziko 2,500, Misumari nchi 3 na 4 kigunia kimoja kimoja, binding wire roller moja na marine boards ziko 10. Mkuu hapo nimebakiza nini ili nikamilishe msingi peke yake hadi hatua ya kufuta kiti na kuachia matoleo ya nondo. Plani yangu nataka nimtumie Fundi Maiko. Tafadhali naomba makadirio yako...hizi BOQ nimegundua zimekuwa zinadanganya sana... Tafadhali
Mkuu hongera sana,kwenye list yako naona kuna pungufu ya BRC na turubai jeusi,na sumu ya mchwa kwa maeneo yenye mchwaUnaweza kunikadiria yangu mkuu. Ina upana wa 17' na marefu 21 eneo pia ni tambarare...hadi sasa tayari nimeshakusanya Nondo mm 16 Tani 2; Nondo MM 8 ziko 100, Mchanga CBM 70, Kokoto nene CBM 50, Tofali 6' ziko 2,500, Misumari nchi 3 na 4 kigunia kimoja kimoja, binding wire roller moja na marine boards ziko 10. Mkuu hapo nimebakiza nini ili nikamilishe msingi peke yake hadi hatua ya kufuta kiti na kuachia matoleo ya nondo. Plani yangu nataka nimtumie Fundi Maiko. Tafadhali naomba makadirio yako...hizi BOQ nimegundua zimekuwa zinadanganya sana... Tafadhali