Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

Nimetumia tofari 6" =1500

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
hongera mkuu msingi hautakiwi kula garama kubwa msingi pamoja na michoro ni only 13-15 percent tu ya overal cost ya jengo zima kinachokost ni kumimina hiyo slab hapo juu hiyo hela uliyotumia hapo chini unaweza kuta ndo garama za nondo tu hapo juu kutegemea na ukubwa wa square meter za jengo lako, bado cement, mchanga, kokoto
 
Sitatoa mchanganuo sababu Kuna vitu tayari umeshaviandaa. Ila roughly andaa Kati 22M mpaka 26M kwa kila kitu. Ila sababu baadhi ya vitu tayari unavyo, mzigo utapungua.
Kifupi ongeza nondo za 12mm ili zitumike kwenye plinth beam.
Hizo 16mm tumia kwenye columns. Hizo 8mm lazima zitadai sababu beams ni nyingi.
Sogeza mawe hapo site kabisa(ikibidi).
Mchanga, kokoto, tofali na misumari vinatosha na kubaki kabisa.
NB. Kesho jioni nakutumia mchanganuo in details kabisa.
Hii ndo tofauti kati ya JF na Social Media zingine.... I love JF.....
 

Attachments

  • Screenshot_20220712-111841_Instagram.jpg
    Screenshot_20220712-111841_Instagram.jpg
    148.7 KB · Views: 153
  • Screenshot_20220712-111633_Instagram.jpg
    Screenshot_20220712-111633_Instagram.jpg
    51.5 KB · Views: 137
  • Screenshot_20220712-111431_Instagram.jpg
    Screenshot_20220712-111431_Instagram.jpg
    58.9 KB · Views: 146
Naomba pia kama unamfahamu anayeweza kujenga vyoo vile vifupi lakini vya kisasa visivyochukua Eneo kubwa
Kama umeamua kujenga choo cha nje kwanza, na kuepuka uchafuzi wa mazingira; chimba kwanza karo la choo ambalo litatumika pia kwenye jengo lako kubwa, kisha jenga choo chako cha nje cha maji, uunganishe kwenye hilo karo.
 
Nawaomba radhi wote mlioniPM Kuuliza mambo mbalimbali kuhusu ujenzi wa gorofa moja.sikuwa nimepita PM kwa muda mrefu.

Leo nimewajibu nyote kwa mpigo.

Ushauri.

Kama.kiwanja chako kidogo Jenga GHOROFA siyo bei kubwa,lakini kuwa makini na mafundi wanatutisha sana. Tumia mafundi wa kawaida Wanaweza kujenga tu na kazi ikawa imara kwa bei nzuri. Simamia mwenyewe ,nunua vifaa mwenyewe.
 
Nawaomba radhi wote mlioniPM Kuuliza mambo mbalimbali kuhusu ujenzi wa gorofa moja.sikuwa nimepita PM kwa muda mrefu.

Leo nimewajibu nyote kwa mpigo.

Ushauri.

Kama.kiwanja chako kidogo Jenga GHOROFA siyo bei kubwa,lakini kuwa makini na mafundi wanatutisha sana. Tumia mafundi wa kawaida Wanaweza kujenga tu na kazi ikawa imara kwa bei nzuri. Simamia mwenyewe ,nunua vifaa mwenyewe.
Mafundi hawa hawa ndo hutumika kujenga, muhimu upate ambaye amewahi jenga ghorofa
 
Duuhh Nyingi mno hiyo, labda itategemea finishing Yako itakuwaje, sisi ni wazee wa tyles za kawaida na finishing za bei poa
Mkuu usiniambie naweza kuwa na ghorofa kwa less than 70 millions...

Makadilio yako unaweza kutumia shilling ngapi mpaka unaamia?
 
Mambo VP?samahani tunaweza kuona kwa picha ilivyo anza hadi ulipo fikia.mmi ni muhanga ktk hilo kwa maana nilipo ambiwa gharama yake niliogopa ila nikajikuta nimehamisha lengo.ila ndoto ipo unaweza ukajikuta mtu umefufuka Mara nyingine.ahsante
 
Ni kweli chuma iko juu Sana, Ila 50M ni mbali Sana mkuu. Hiyo ramani yake hata sio kubwa kivile.
Nimejenga msingi mkubwa kuzidi huo kwa size na ugumu wa mazingira. Ila umekula around 22M, tena ni mkoa wenye vitu bei juu zaidi.
nyie ndio mnaotufaa hapa
 
Back
Top Bottom