Naomba kujuzwa kwanini Fiesta haitimbi Arusha

Naomba kujuzwa kwanini Fiesta haitimbi Arusha

Arusha mabishoo tu mpaka wakise hela ndo waonekane hardcore's
Ni wakata viuno tu
 
tatizo machalii ya arusha akili zao zipo resi, sec kwao ni nyingi wameshaharibu
 
Watu wa arusha ni wababe mnooo, kama last time walikuwa wanataka waimbe wale wasanii wanaowataka wao, sio anaowataka ruge, sasa this time nina wasi wasi kama manfongo jukwaani akipandaa kama hawatamsusha sijui....
 
Nakumbuka iliwahi kwenda huko miaka ya nyuma ila wakaacha, wanaishia Moshi tu.Kama tuonavyo kwa sasa Fiesta inaenda mikoa mingi hadi mikoa midogo kama Singida na baadhi ya wilaya kama Kahama na Muleba, so hainiingii akilini ni kwanini waache kwenda mkoa mkubwa wenye fursa kibao kama Arusha. Eti machalii wa R mlimfanya nini Ruge? Au mnamtisha na mibangi yenu?
Jumamos fiesta hitakuwa Arusha jombaaa

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Wale jamaa mnaowasikia kila siku wakizunguka kila Mkoa na Mifugo yao, na kuanzisha ugomvi na Wakulima Arusha si ndio nyumbani kwao, sasa unategemea nini?
Si bure hata wewe mwenyewe nafsi imekusuta, mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika huu upuuzi...
 
Macharii wa arusha wanapenda zile nyimbo zao,

"Kimbau mbau kanenepa kawa tuku nyema[emoji443] " sasa nyimbo gani hizo[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sijui na nyingine inaimbwa mamong'oo macharee machhaa sijui nn mi sielewi hawa jamaa wa arusha cjui wanatumia bangi kama mboga[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Asee chalaangu taratibu na sisi atii...

Tunataka vitu chaaaaa, ooooi, aaah vitu heavy vinavyoamsha stim na mori alafu mwisho kabisa TUNAZITWAGWAAA
 
Back
Top Bottom