Naomba kujuzwa namna bora ya kupata fremu Kariakoo

Naomba kujuzwa namna bora ya kupata fremu Kariakoo

Dunia ya sasa siwezi kwenda kkoo kulipa mamilioni ya kilemba
Ni bora kuchukua frem makumbusho au mwenge na hiyo milioni sita ya kilemba ni yakufanyia matangazo mtandaoni impact yake inaweza kuwa kubwa sana
Wateja wako wa aina mbili mkuu pamoja na maendeleo haya unayoyaona kuna watu huko mtandaon huwaoni kabisa. Na machimbo mengi kariakoo hayafanyi marketing mitandaoni.. hayo ni jkifika unalipa unajitishwq unasepa! So biashra pale kariakoo ukiwa siriaz ni case nyingine kabisa mana unaweza kuwafanya watu wengi pale kuwa wateja wako. Wanaoinvest pale sio vichaa kama wanaojazana mwenge na makumbusho au ushambani sinzA
 
Wateja wako wa aina mbili mkuu pamoja na maendeleo haya unayoyaona kuna watu huko mtandaon huwaoni kabisa. Na machimbo mengi kariakoo hayafanyi marketing mitandaoni.. hayo ni jkifika unalipa unajitishwq unasepa! So biashra pale kariakoo ukiwa siriaz ni case nyingine kabisa mana unaweza kuwafanya watu wengi pale kuwa wateja wako. Wanaoinvest pale sio vichaa kama wanaojazana mwenge na makumbusho au ushambani sinzA
Kuwa na biashara makumbusho haina maana wateja wa kuja dukani wenyewe hawatakuwepo bali kutakuwa na tofauti kidogo na kkoo
Lakini pale makumbusho utakuta kuna mtu ameanza biashara na msingi wa milioni tatu na anaenda vizuri kabisa lakini mimi naenda pale nina milioni sita kwaajili ya matangazo tu mbali na msingi nilionao
Nikisema matangazo unaweza kuwa huelewi namaanisha nini
Matangazo yanafanya kazi kuliko uchawi
Kivipi
Mfano ukitaka kujua kuhusu kilimo cha mahindi ukaingia YouTube ukaandika kilimo cha mahindi na ukatazama video mbili au tatu kesho utakuta video zaidi ya kumi zinazohusu kilimo cha mahindi
Ndiyo jinsi matangazo yanavyofanya kazi
Unavyosajili tangazo mtandaoni unataja
Aina ya bidhaa uliyonayo
Una option ya kusema aina ya watu unaotaka waone tangazo lako
Eneo ambalo tangazo lako unataka lifike
Inaweza kuwa kinondoni au ilala au dar es Salam au Tanzania nzima au Afrika mashariki,
Umri, jinsia na mahali watu walipo hizo data za watu zipo mtandaoni kwa hiyo tangazo litawafikia watu wenye uhitaji wa bidhaa yako kwa hivyo uwezekano wa biashara ni mkubwa sana
Kuna hadi option za watu wangapi waone tangazo kwa siku na kuendelea inategemea na Budget yako
Mtu anaweza kuwa Namanyere kitandani kwake usiku wa manane anaperuzi matandaoni na akaona kwamba dar es Salam makumbusho kuna mtu anauza viatu aina fulani nnavyovitafuta hii ni tofauti na mwenye frem kkoo aliyekaa kusubiri wanaokuja
 
Kuwa na biashara makumbusho haina maana wateja wa kuja dukani wenyewe hawatakuwepo bali kutakuwa na tofauti kidogo na kkoo
Lakini pale makumbusho utakuta kuna mtu ameanza biashara na msingi wa milioni tatu na anaenda vizuri kabisa lakini mimi naenda pale nina milioni sita kwaajili ya matangazo tu mbali na msingi nilionao
Nikisema matangazo unaweza kuwa huelewi namaanisha nini
Matangazo yanafanya kazi kuliko uchawi
Kivipi
Mfano ukitaka kujua kuhusu kilimo cha mahindi ukaingia YouTube ukaandika kilimo cha mahindi na ukatazama video mbili au tatu kesho utakuta video zaidi ya kumi zinazohusu kilimo cha mahindi
Ndiyo jinsi matangazo yanavyofanya kazi
Unavyosajili tangazo mtandaoni unataja
Aina ya bidhaa uliyonayo
Una option ya kusema aina ya watu unaotaka waone tangazo lako
Eneo ambalo tangazo lako unataka lifike
Inaweza kuwa kinondoni au ilala au dar es Salam au Tanzania nzima au Afrika mashariki,
Umri, jinsia na mahali watu walipo hizo data za watu zipo mtandaoni kwa hiyo tangazo litawafikia watu wenye uhitaji wa bidhaa yako kwa hivyo uwezekano wa biashara ni mkubwa sana
Kuna hadi option za watu wangapi waone tangazo kwa siku na kuendelea inategemea na Budget yako
Mtu anaweza kuwa Namanyere kitandani kwake usiku wa manane anaperuzi matandaoni na akaona kwamba dar es Salam makumbusho kuna mtu anauza viatu aina fulani nnavyovitafuta hii ni tofauti na mwenye frem kkoo aliyekaa kusubiri wanaokuja
Biashara za kufanya matabgazo mitanadaoni ni za level flan hiv. Sio biahara zote! Biashara inayosimama kriakoo ni B2B ambayo haihitaji kujielezea sana. Unampostia mtu tabgazo mwezi mzima ananunua siku moja tu katika mwez huo. Hii ni misuse of energy and resources.

Maduka mengi yanayosimama kariakoo watej ni machinga na wafanyabaishara wa sehem nyingine. Hii nakupa kama hint kama unataka kuingia kariakoo. Ukifubgua duka kariakoo kwa kufanya matangazo mtandaon watu waje unafeli laid na utatafuta mchawi walahi

Nazngumza kwa experience
 
Mana frem nyingi kariakoo ni laki 5 mpaka 8 kama ikiwq kubwa ni 1m monthly unalipa kwa miez 6 au mwaka. Kilemba mda nwingine unapimwq tu waone kama unaweza kutoa hiyo wanakulaga wajanja wajanja tu. N wamiliki wachache sana wanatakaga hiko hasa wakiwa wachaga

Mkuu wewe ni dalali?
 
Mkuu wewe ni dalali?
Mim hizi nlishafanya mkuu mana niliwahi kufatilia kama huyu nilipataga jimama likataka liniwekee biaahara hapo kariakoo. Nilipataga frem mchikichi na swahili pale jengo jipya bila kilemba underground floor. Tulachelewa kulipia

Tukaenda kupata frem ya milion 1 na kilemba milion 15 pale sikukuu na mchikichi mpaka leo yuko pale. Kwa majengo mapya haya ya kariakoo sahiv hawez kosa frem bila kilemba unless achague mtaa ndo tuone ugum wa kupata frem kulingana na mtaa husika
 
Mim hizi nlishafanya mkuu mana niliwahi kufatilia kama huyu nilipataga jimama likataka liniwekee biaahara hapo kariakoo. Nilipataga frem mchikichi na swahili pale jengo jipya bila kilemba underground floor. Tulachelewa kulipia

Tukaenda kupata frem ya milion 1 na kilemba milion 15 pale sikukuu na mchikichi mpaka leo yuko pale. Kwa majengo mapya haya ya kariakoo sahiv hawez kosa frem bila kilemba unless achague mtaa ndo tuone ugum wa kupata frem kulingana na mtaa husika
Mkuu biashara gani kwa uzoefu wako inatembea sana kariakoo?
 
Kuwa na biashara makumbusho haina maana wateja wa kuja dukani wenyewe hawatakuwepo bali kutakuwa na tofauti kidogo na kkoo
Lakini pale makumbusho utakuta kuna mtu ameanza biashara na msingi wa milioni tatu na anaenda vizuri kabisa lakini mimi naenda pale nina milioni sita kwaajili ya matangazo tu mbali na msingi nilionao
Nikisema matangazo unaweza kuwa huelewi namaanisha nini
Matangazo yanafanya kazi kuliko uchawi
Kivipi
Mfano ukitaka kujua kuhusu kilimo cha mahindi ukaingia YouTube ukaandika kilimo cha mahindi na ukatazama video mbili au tatu kesho utakuta video zaidi ya kumi zinazohusu kilimo cha mahindi
Ndiyo jinsi matangazo yanavyofanya kazi
Unavyosajili tangazo mtandaoni unataja
Aina ya bidhaa uliyonayo
Una option ya kusema aina ya watu unaotaka waone tangazo lako
Eneo ambalo tangazo lako unataka lifike
Inaweza kuwa kinondoni au ilala au dar es Salam au Tanzania nzima au Afrika mashariki,
Umri, jinsia na mahali watu walipo hizo data za watu zipo mtandaoni kwa hiyo tangazo litawafikia watu wenye uhitaji wa bidhaa yako kwa hivyo uwezekano wa biashara ni mkubwa sana
Kuna hadi option za watu wangapi waone tangazo kwa siku na kuendelea inategemea na Budget yako
Mtu anaweza kuwa Namanyere kitandani kwake usiku wa manane anaperuzi matandaoni na akaona kwamba dar es Salam makumbusho kuna mtu anauza viatu aina fulani nnavyovitafuta hii ni tofauti na mwenye frem kkoo aliyekaa kusubiri wanaokuja
Vijana punguzeni ujuaji munatia kinyaa sana
 
Vijana punguzeni ujuaji munatia kinyaa sana
Bado mtoto mdogo huyu anaamin sana mitandao. Kariakoo huwez kufungua duka kwa marketing za digital! Ulipe kodi milion kwa mwezi yani wiki moja ni laki 2 na nusu alafu uvizie kupost mtandaon aje anunue shuka mbili mwezi mzima tena lugha ya kubembelezana kibao. Hawafanyi biashara hizo.

Marketing ya digital ni kwa mawinga na wauza sura tu.
 
Kariakoo hata miamala ina pesa, mana kuja mtu kukumwagia kibunda sio kesi. Hata chakula! Mm nina uzeof wa mashuka, pazia, neti, taulo n pochi kias.

Unawez pia kuingia miguu miwil kwenye Nguo hasa tishet za uturuki na India. Au kuuza hivyo vitu hapo juu vina soko kubwa sana kufananisha na bidhaa nyingine.
Mkuu biashara gani kwa uzoefu wako inatembea sana kariakoo
 
Kariakoo hata miamala ina pesa, mana kuja mtu kukumwagia kibunda sio kesi. Hata chakula! Mm nina uzeof wa mashuka, pazia, neti, taulo n pochi kias.

Unawez pia kuingia miguu miwil kwenye Nguo hasa tishet za uturuki na India. Au kuuza hivyo vitu hapo juu vina soko kubwa sana kufananisha na bidhaa nyingine.
Vipi biashara ya vitenge
 
Bado mtoto mdogo huyu anaamin sana mitandao. Kariakoo huwez kufungua duka kwa marketing za digital! Ulipe kodi milion kwa mwezi yani wiki moja ni laki 2 na nusu alafu uvizie kupost mtandaon aje anunue shuka mbili mwezi mzima tena lugha ya kubembelezana kibao. Hawafanyi biashara hizo.

Marketing ya digital ni kwa mawinga na wauza sura tu.
Kutangaza biashara mitandaoni hakuzuii wateja kuja dukani
Ambaye anatangaza na asiyetangaza ni tofauti sana mmoja yuko hatua moja na mwingine yuko hatua mbili mbele
 
Yaani mkopo ndio ukaanzishie biashara kariakoo? Tafuta maeneo kama Segerea,Mbagala,Chanika,Makumbusho,Mbezi au Mwenge
 
Back
Top Bottom