Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,365
- 2,732
Hapana ,Mimi sina uzoefu na kariakoo kabisa,, ila nampinga mdau anayeamini kwenye matangazo sana ya biashara hizi za kati ,mfano duka.Kwahiyo mkuu una uzoefu na kariakoo kwasababu huwa wengine tunatamani tuingie pale