ozigizaga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 701
- 1,703
Safi mkuuKariakoo hata miamala ina pesa, mana kuja mtu kukumwagia kibunda sio kesi. Hata chakula! Mm nina uzeof wa mashuka, pazia, neti, taulo n pochi kias.
Unawez pia kuingia miguu miwil kwenye Nguo hasa tishet za uturuki na India. Au kuuza hivyo vitu hapo juu vina soko kubwa sana kufananisha na bidhaa nyingine.