Safi mkuuKariakoo hata miamala ina pesa, mana kuja mtu kukumwagia kibunda sio kesi. Hata chakula! Mm nina uzeof wa mashuka, pazia, neti, taulo n pochi kias.
Unawez pia kuingia miguu miwil kwenye Nguo hasa tishet za uturuki na India. Au kuuza hivyo vitu hapo juu vina soko kubwa sana kufananisha na bidhaa nyingine.
Umenipa elimu mujarabuKuwa na biashara makumbusho haina maana wateja wa kuja dukani wenyewe hawatakuwepo bali kutakuwa na tofauti kidogo na kkoo
Lakini pale makumbusho utakuta kuna mtu ameanza biashara na msingi wa milioni tatu na anaenda vizuri kabisa lakini mimi naenda pale nina milioni sita kwaajili ya matangazo tu mbali na msingi nilionao
Nikisema matangazo unaweza kuwa huelewi namaanisha nini
Matangazo yanafanya kazi kuliko uchawi
Kivipi
Mfano ukitaka kujua kuhusu kilimo cha mahindi ukaingia YouTube ukaandika kilimo cha mahindi na ukatazama video mbili au tatu kesho utakuta video zaidi ya kumi zinazohusu kilimo cha mahindi
Ndiyo jinsi matangazo yanavyofanya kazi
Unavyosajili tangazo mtandaoni unataja
Aina ya bidhaa uliyonayo
Una option ya kusema aina ya watu unaotaka waone tangazo lako
Eneo ambalo tangazo lako unataka lifike
Inaweza kuwa kinondoni au ilala au dar es Salam au Tanzania nzima au Afrika mashariki,
Umri, jinsia na mahali watu walipo hizo data za watu zipo mtandaoni kwa hiyo tangazo litawafikia watu wenye uhitaji wa bidhaa yako kwa hivyo uwezekano wa biashara ni mkubwa sana
Kuna hadi option za watu wangapi waone tangazo kwa siku na kuendelea inategemea na Budget yako
Mtu anaweza kuwa Namanyere kitandani kwake usiku wa manane anaperuzi matandaoni na akaona kwamba dar es Salam makumbusho kuna mtu anauza viatu aina fulani nnavyovitafuta hii ni tofauti na mwenye frem kkoo aliyekaa kusubiri wanaokuja
Sahihi mkuuDunia ya sasa siwezi kwenda kkoo kulipa mamilioni ya kilemba
Ni bora kuchukua frem makumbusho au mwenge na hiyo milioni sita ya kilemba ni yakufanyia matangazo mtandaoni impact yake inaweza kuwa kubwa sana
Kama sehemu gani yenye mzunguko kuizidi kariakoo?Kumbe watu mnapigwa hivi.🤣🤣.kuna ulazima gani wa kufungua fremu kariakòo?kuna maeneo mengi fana mzunguko wa biashara mzuri tu.acheni kupigwa
Wewe umewahi kufanya biashara?
Kwani maeneo mengine hawafanyi biashara?tatizo mna kasumba kuwa kariakoo ndo kila kitu.AMKENIKama sehemu gani yenye mzunguko kuizidi kariakoo?
Hyo milioni 18 ya kilemba sijui. Nafungua hardware kubwa tu na nina jaza duka uswaazi huku na wateja wa kumwagaKama sehemu gani yenye mzunguko kuizidi kariakoo?
Kwa sabab mipango na hesab zako sio kubwa. Anayeipinga kariakoo ujue haijui vizurHyo milioni 18 ya kilemba sijui. Nafungua hardware kubwa tu na nina jaza duka uswaazi huku na wateja wa kumwaga
sijapinga ila kuniambia kilemba cha udalali milioni 18.hyo ni biashara KICHAA yaani kuna watu wamekaa hawafanyi kazi wanasubiri kilemba?ntakuwa wa mwisho kufanyaKwa sabab mipango na hesab zako sio kubwa. Anayeipinga kariakoo ujue haijui vizur
💯Dunia ya sasa siwezi kwenda kkoo kulipa mamilioni ya kilemba
Ni bora kuchukua frem makumbusho au mwenge na hiyo milioni sita ya kilemba ni yakufanyia matangazo mtandaoni impact yake inaweza kuwa kubwa sana
Ujuaji Mwingiiii Kama huijui Kkoo KAA KIMYAMana frem nyingi kariakoo ni laki 5 mpaka 8 kama ikiwq kubwa ni 1m monthly unalipa kwa miez 6 au mwaka. Kilemba mda nwingine unapimwq tu waone kama unaweza kutoa hiyo wanakulaga wajanja wajanja tu. N wamiliki wachache sana wanatakaga hiko hasa wakiwa wachaga
Una experience ipi mkuu shea na sisi hapa! Biashara yako umeifungua wapi na frem ulipata katika mazingira gan na ilikuwa mwaka gani? Life is too simple.. like to break your ass with harder penetrationUjuaji Mwingiiii Kama huijui Kkoo KAA KIMYA
Na kama duka lako linauza vitu bei ya jumla nakuunganisha na mawinga wenzangu wanaotoka humhum jf. Mm nitalitembelea kesho duka hiloUjuaji Mwingiiii Kama huijui Kkoo KAA KIMYA
Biashara gani zinafanyika sehemu hiyo?Muda huu niko kariakoo hapa aggrey na swahili karibu na msikiti wa Kiblateni jengo jipya lina frem
Naona huyu jamaa hana uzoefu sana na mtaa ana mambo mengi ya kusoma ,sorry kama ntakuwa nimemkwanza,ila ni mweupe sana kuhusu mambo halisi ya biashara.Vijana punguzeni ujuaji munatia kinyaa sana
Kwahiyo mkuu una uzoefu na kariakoo kwasababu huwa wengine tunatamani tuingie paleNaona huyu jamaa hana uzoefu sana na mtaa ana mambo mengi ya kusoma ,sorry kama ntakuwa nimemkwanza,ila ni mweupe sana kuhusu mambo halisi ya biashara.