Ndo nakutafuta hivyoAnhaaaaa apo unitafute mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nakutafuta hivyoAnhaaaaa apo unitafute mkuu
Ingia mbetNdo nakutafuta hivyo
OkyIngia mbet
😂😂😂ndio kupigwa na vitu vizito hakukosekaniUtapigwa na kitu kizito uje kutoa ushuhuda hapa!
naweza nielekeza kuhusu forexNifundishe kubet
kwamba naweza kupigwa na kitu kizito😂😂😂iyo video ni tahadhari asitokee mtu akakushauri kujikita kwenye michezo ya kubashiri au forex
achana na pesa za kudownloadkwamba naweza kupigwa na kitu kizito😂😂😂
miezi 2 yakujifunza ushuzi wakuja kukufilisi nina jamaa yangu alimaliza mishahara mitatu kwenye huo ujinga tulimwambia hakutaka kusikiaJifunze forex ila itakuchukua miaka zaidi ya 2 kuona mafanikio, ni safari ndefu ila yenye manufaa makubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Upwork ni website ambayo unafanya kazi mtandaoni na kulipwa kutokana na skills ulizonazo kwa saa au Kwa mwezi.samahani unaeza nielezea hio upwork
Pamoja mkuuNishafika nikampa mwongozo Mkuu 😀😀😀
Sahz mambo yamerahisishwa unatrae kwa robot tu loss kidogo snJifunze forex mkuu utanishukuru baadae...
sawa asanteUpwork ni website ambayo unafanya kazi mtandaoni na kulipwa kutokana na skills ulizonazo kwa saa au Kwa mwezi.
Kwa saa inaweza range 20$-300$ kutokana na uzito wa kazi.
Zipo sema ni kazi kama kazi nyingine sio easy money kama watu wengi wanavyofikiri... Ni kazi tena kama kazi yoyoteHakuna kitu kama hicho, sema we utakuwa mwanachuo. Siku ukitapeliwa ndo utajua jinsi ya kuingiza pesa 😁😁 vijana acha uvivu fanya kazi
Kama ngapi ziorozeshe apaZipo sema ni kazi kama kazi nyingine sio easy money kama watu wengi wanavyofikiri... Ni kazi tena kama kazi yoyote