Naomba kujuzwa namna ya kutuma meseji ya kawaida(normal text) kutoka Airtel Tanzania kwenda United Kingdom(UK)

Naomba kujuzwa namna ya kutuma meseji ya kawaida(normal text) kutoka Airtel Tanzania kwenda United Kingdom(UK)

Zinn

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
2,075
Reaction score
2,503
Nduguzangu wasalaamu, kuna namba ipo UK, inaanzia na +44, haipo Whatsapp wala telegram wala wapi, nalazimika kutuma meseji kwa normal text tu, naombeni mnisaidie ni kifurushi kipi kutoka laini yangu ya Airtel hapa Tanzania, kitaweza kufanikisha hilo, au ni muda wa maongezi wa kawaida? Au nijiunge vipi?

Ahsanteni.

Zinn
 
Nduguzangu wasalaamu, kuna namba ipo UK, inaanzia na +44, haipo Whatsapp wala telegram wala wapi, nalazimika kutuma meseji kwa normal text tu, naombeni mnisaidie ni kifurushi kipi kutoka laini yangu ya Airtel hapa Tanzania, kitaweza kufanikisha hilo, au ni muda wa maongezi wa kawaida? Au nijiunge vipi?

Ahsanteni.

Zinn
Inabidi uwe na salio la kawaida sio kifurushi. Na msg moja gharama yake nadhan kitu kama 240 siko sure sana juu ya hili. Weka hata buku then tuma
 
Weka namba usaidiwe au angalia area code ni ya mji gani?
Kama ni landline piga simu tu hata dakika
Kama humjui siku hizi kuna namba nyingi ambazo ni matapeli ila huku wanawaumbua kabla hata hujapokea ujumbe unakuja, na hii nimepigiwa london leo sikupokea
Screenshot_20250106_115006_Phone~2.png
 
Nduguzangu wasalaamu, kuna namba ipo UK, inaanzia na +44, haipo Whatsapp wala telegram wala wapi, nalazimika kutuma meseji kwa normal text tu, naombeni mnisaidie ni kifurushi kipi kutoka laini yangu ya Airtel hapa Tanzania, kitaweza kufanikisha hilo, au ni muda wa maongezi wa kawaida? Au nijiunge vipi?

Ahsanteni.

Zinn
Meseji za Nje hutumi kwa kifurushi ila unatuma kwa kuwa na airtime kwenye simu yako. Weka tu, salio kama shs 5000 utatuma meseji zako zote, inacharge kwenye shs 100 kwa meseji
Andika tu namba kawaida kama ulivyo anza na +44.....
Ukiona haina whatsup ujue ni landline japo landline zao zinapokea meseji; Unaweza kumpigia ukamuomba akupe namba ya whatsup....kama yupo tayari kuwasiliana na wewe atakupa
 
Ahsanteni sana nduguzangu, nimeweka muda wa maongezi bila kujiunga, nikafanikiwa, hatimaye lengo langu limefanikiwa pia, mbarikiwe sana. Thread closed.

Zinn
 
Nduguzangu wasalaamu, kuna namba ipo UK, inaanzia na +44, haipo Whatsapp wala telegram wala wapi, nalazimika kutuma meseji kwa normal text tu, naombeni mnisaidie ni kifurushi kipi kutoka laini yangu ya Airtel hapa Tanzania, kitaweza kufanikisha hilo, au ni muda wa maongezi wa kawaida? Au nijiunge vipi?

Ahsanteni.

Zinn
Weka voucher kawaida....iwe kama buku hivi msg moja haipungui tzs 200......bundles inagoma..
 
Back
Top Bottom