Huyo mlengwa huko hana internet ajiunge whatsapp??Ahsanteni sana nduguzangu, nimeweka muda wa maongezi bila kujiunga, nikafanikiwa, hatimaye lengo langu limefanikiwa pia, mbarikiwe sana. Thread closed.
Zinn
hii ni program gani mkuu ya kukupa mrejesho hivi?Weka namba usaidiwe au angalia area code ni ya mji gani?
Kama ni landline piga simu tu hata dakika
Kama humjui siku hizi kuna namba nyingi ambazo ni matapeli ila huku wanawaumbua kabla hata hujapokea ujumbe unakuja, na hii nimepigiwa london leo sikupokea View attachment 3194465
Ni UK hii, kama namba ni matapeli basi utaona imeandikwa hivyohii ni program gani mkuu ya kukupa mrejesho hivi?
💯Ahsante ngoja nijaribu hii mtaalamu
Ni kampuni moja hivi, ilinilazimu kutuma normal text, lengo limetimiaHuyo mlengwa huko hana internet ajiunge whatsapp??
Sikushangai ila hujui kilichotokea, pia hujui kwanini sikupiga simu huduma za wateja na hutojua, pia sina watu Ulaya, hata hiyo meseji niliyotuma nayo ni mambo mengine kabisa usiyoyajua.Una watu ulaya afu huna akili
Iv kwel huo mda uliotumia kuandika mada si ulikua unatosha kbsa kuwapigia huduma kwa wateja 100 wakakupa maelekezo
Ktk jamii zetu tuna watu tu wahovyo na wazembe sana awapendi kutumia akili zao kila kitu wanauliza