Naomba kujuzwa njia sahihi na salama ya kutoa Ujauzito (abortion)

Naomba kujuzwa njia sahihi na salama ya kutoa Ujauzito (abortion)

ikhlas

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
1,050
Reaction score
1,308
Wasalam wadau ,

Dada angu ana mtoto wa mwaka 1 alimzaa kwa opresheni, lkn pia mtoto wke wa kwanza ana miaka 5 pia alimzaa kwa opresheni.

Sasa ameshika tena ujauzito una miezi miwili, unampelekesha na afya yke imedhoofika mno, tumeshauriana anataka kuitoa kwa sbb ana mtoto mchanga wa mwaka 1 na afya yke imezorota, wadau nimekuja hapa mnishauri je ni salama yy kutoa na atumie njia gani yenye usalama bila kumletea shida.

Msaada wenu tafadhali.
 
Si aende hospitali, daktari ndio aseme kuwa afya ya mama iko hatarini kwahiyo kuna ulazima wa kutoa mimba.

Kinyume chake akiamua kufanya mambo kienyeji anaweza KUFA. Pia kutoa mimba pasipokuwa na sababu za kitabibu ni kosa la JINAI.

Pia next time ajifunze kuwa kunyonyesha sio birth control, mimba inaingia tu.
 
Wasalam wadau ,

Dada angu ana mtoto wa mwaka 1 alimzaa kwa opresheni, lkn pia mtoto wke wa kwanza ana miaka 5 pia alimzaa kwa opresheni.

Sasa ameshika tena ujauzito una miezi miwili, unampelekesha na afya yke imedhoofika mno, tumeshauriana anataka kuitoa kwa sbb ana mtoto mchanga wa mwaka 1 na afya yke imezorota, wadau nimekuja hapa mnishauri je ni salama yy kutoa na atumie njia gani yenye usalama bila kumletea shida.

Msaada wenu tafadhali.
Hakuna njia salama yeyote Duniani ya kuua mtoto asiye hatia aliyeletwa bila yeye kuchagua kwa sababu ya starehe na uzinzi wenu.
Ni maajabu maajabu mtu anaomba ushauri jinsi ya kumuua kikatili malaiks asiye na hatua halafu kuna majitu sijui ni magaidi ya namna gani yanashiriki kutoa ushauri badala ya kumtetea kiumbe asiye na hatia.
Wanaopaswa kumlinda na kumkinga kwa gharama zozote zile ndio wanapanga mauaji yake.

Eee Mungu mwenye huruma mwokoe mtoto huyo au wakikaidi wachukue wote... Baba yake mpe hata ajali wakakutane humo.
Roho imeniuma mno.. Sijui kama nitakula wala kulala.
Mkitekeleza hilo na mlaaniwe maisha yenu yoote... Na mje kufa kikatili kwa kuuawa na majitu makatili kama ninyi. Amina.
 
Hakuna njia salama yeyote Duniani ya kuua mtoto asiye hatia aliyeletwa bila yeye kuchagua kwa sababu ya starehe na uzinzi wenu.
Ni maajabu maajabu mtu anaomba ushauri jinsi ya kumuua kikatili malaiks asiye na hatua halafu kuna majitu sijui ni magaidi ya namna gani yanashiriki kutoa ushauri badala ya kumtetea kiumbe asiye na hatia.
Wanaopaswa kumlinda na kumkinga kwa gharama zozote zile ndio wanapanga mauaji yake.

Eee Mungu mwenye huruma mwokoe mtoto huyo au wakikaidi wachukue wote... Baba yake mpe hata ajali wakakutane humo.
Roho imeniuma mno.. Sijui kama nitakula wala kulala.
Mkitekeleza hilo na mlaaniwe maisha yenu yoote... Na mje kufa kikatili kwa kuuawa na majitu makatili kama ninyi. Amina.
Njoo kwangu utapata mahitaji yote hadi miaka 3ya mtoto... asante
 
Hakuna njia salama yeyote Duniani ya kuua mtoto asiye hatia aliyeletwa bila yeye kuchagua kwa sababu ya starehe na uzinzi wenu.
Ni maajabu maajabu mtu anaomba ushauri jinsi ya kumuua kikatili malaiks asiye na hatua halafu kuna majitu sijui ni magaidi ya namna gani yanashiriki kutoa ushauri badala ya kumtetea kiumbe asiye na hatia.
Wanaopaswa kumlinda na kumkinga kwa gharama zozote zile ndio wanapanga mauaji yake.

Eee Mungu mwenye huruma mwokoe mtoto huyo au wakikaidi wachukue wote... Baba yake mpe hata ajali wakakutane humo.
Roho imeniuma mno.. Sijui kama nitakula wala kulala.
Mkitekeleza hilo na mlaaniwe maisha yenu yoote... Na mje kufa kikatili kwa kuuawa na majitu makatili kama ninyi. Amina.
Elewa maelezo ,hali y mama ipo hatarini afy yake imedhoofika mana alijufungua tu mwaka jna kwa opresheni, anashindwa hadi kula
 
Wasalam wadau ,

Dada angu ana mtoto wa mwaka 1 alimzaa kwa opresheni, lkn pia mtoto wke wa kwanza ana miaka 5 pia alimzaa kwa opresheni.

Sasa ameshika tena ujauzito una miezi miwili, unampelekesha na afya yke imedhoofika mno, tumeshauriana anataka kuitoa kwa sbb ana mtoto mchanga wa mwaka 1 na afya yke imezorota, wadau nimekuja hapa mnishauri je ni salama yy kutoa na atumie njia gani yenye usalama bila kumletea shida.

Msaada wenu tafadhali.
Anajua ana matatizo hayo bado anakulana kavu tena siku za hatari? Huu uzi ni wa kufuta. Kwa Tanzania kutoa mimba ni kosa la jinai, na atakayetoa ushauri wa namna ya kutoa mimba naye anapaswa kukamatwa pia. Kama ana shida aende hospital, madaktari watashauri cha kufanya.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Si aende hospitali, daktari ndio aseme kuwa afya ya mama iko hatarini kwahiyo kuna ulazima wa kutoa mimba.

Kinyume chake akiamua kufanya mambo kienyeji anaweza KUFA. Pia kutoa mimba pasipokuwa na sababu za kitabibu ni kosa la JINAI.

Pia next time ajifunze kuwa kunyonyesha sio birth control, mimba inaingia tu.
siyo birth control 🤣 🤣 🤣 Mr alitakiwa amwagie nje au mke aweke kijiti waendelee Kuraruana tuh huku mtoto akikua
 
Kama ina miezi miwili had aje azae huyo mtoto wa mwaka si kashakuwa mkubwa kabsa,
Atulize mshono alee mimba na mtoto baada ya hapo ajipange upya
Cha msingi amtafutie msaidizi dada wa kazi au ndugu wa karibu pia apigwe mlo kamili + apumzike muda wa kutosha.

Bado hakuna sababu ya msingi kuua kiumbe bila hatia.
 
Mwaka mmoja? Mtoto mkubwa sana huyo! Avumilie tu huko kuumwa umwa ni maudhi ya first trimester!! Ukijifungua kwa operation ukimaliza miezi sita tu ni salama kwako kubeba mimba nyingine labda kama ingekua chini ya miezi sita ndo tungeweza kusema ni hatari kwake!! Aondoe wasiwasi
 
Back
Top Bottom