Naomba kujuzwa utaratibu wa kupata SMS za mtu kupitia watoa huduma (mitandao) na kama polisi Tanzania wanafanya polygraph test

Asante sana kwa ushauri mzuri mkuu. Nitafanya hivyo. Watu wengine pia wamefaidika mchango wako. Thanks again
 
Wow! God bless JF family. Great suggestions indeed. Shukrani sana mkuu
 
huku kwetu ni kipigo tu hadi utaongea
Issue ni kwamba nimeishi abroad na kwa kule ni kinyume cha sheria kufanya hivyo, halafu wazazi wa vijana nawafahamu. Ni utu wangu tu unanizuia kufanya hivyo. Ila uwezo na $$ ya kuhakiki hilo linafanyika upo. Asante again
 
mkuu kwa hapa bong nakushaur taft conncton ya mfanykz wa halotel den atakusadia n kosa ndio ila hao vijn wanankan hawJui sheria ukshpt ushahd imesh hy
 
hichi kipande nimekipenda sana kwamba""UNAWEZA PIGWA IWE KWELI AU SIO KWELI[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…