Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo

Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo

Kweli kabisa, mimi ninako ka piston 4, mwaka wa nne sijawahi kufungua injini, ni oil tu na break pad,
Nimeshawahi kwenda Moshi na kurudi kwa siku moja.

Nilitoka Dar alfajiri saa11 nimefika Moshi saa5 asubuhi, saa 7 mchana nikaanza safari ya kurudi, nikafika Dar home Kitunda saa 2 usiku.

Kanafunguka mpaka 140km/h bila stress
Yah gari nzuri kwa low average tulio wengi
 
Sasa kidude kina cc 900, unaenda nacho wapi hata Dar to Bagamoyo kinafika kipo hoi? Wabongo tuache vitu rahisi... Acheni uoga wa maisha hakuna gari isiyotumia mafuta
Hivyo vipasso vingekuwa sio vigari visingeendeshwa sn uarabuni n nchi za ulaya…

Shida wabongo n ulimbukeni… yan mm hela yngu zen unichagulie cha kumiliki?

Na ukute hata spok y biycle huna, yan hukuwai miliki chochote zaid y korodani
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
Huuu
Kweli kabisa, mimi ninako ka piston 4, mwaka wa nne sijawahi kufungua injini, ni oil tu na break pad,
Nimeshawahi kwenda Moshi na kurudi kwa siku moja.

Nilitoka Dar alfajiri saa11 nimefika Moshi saa5 asubuhi, saa 7 mchana nikaanza safari ya kurudi, nikafika Dar home Kitunda saa 2 usiku.

Kanafunguka mpaka 140km/h bila stress
 
Ndugu zangu nina Kavitz Kangu huku Tanga Mjini ..kanasaidia kwa mizunguko Ya hapa barabara za namba ,,sasa nimevuta nguvu kidogo nilitaka nipate tena gari nyengine ndogo ya kunisaidia hata nikitaka kutoka nje ya Tanga iwe Rahisi ..nimewaza nikafikiri lakin bado nipo njia panda kwenye pendekezo la gari ipi niwe nayo ..Bajeti Yangu ni hizi hizi gari zetu za mkononi Bei(5M mpaka 8M) naomba nipewe mapendekezo wana JF ..
Chukuwa raum
 
Hivyo vipasso vingekuwa sio vigari visingeendeshwa sn uarabuni n nchi za ulaya…

Shida wabongo n ulimbukeni… yan mm hela yngu zen unichagulie cha kumiliki?

Na ukute hata spok y biycle huna, yan hukuwai miliki chochote zaid y korodani
Haya njoo unyonye korodani🍆 zangu maana umezipenda...
 
Back
Top Bottom