Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Leo nakiri bila kushurutishwa makalio yana umuhimu wake.
Najua baadhi ya waja hasa flat screeners wataguna😜na wengine wameenda mbali zaidi kwa kudai eti makalio makubwa yanapunguza akili.
Nimegundua akili zikiwa za kuvukia barabara zinatosha.
Kwanza mnaotaka miakili mingi yanini? mnataka kupeleka ndege anga za mbali au?
Naomba nisihojiwe maswali kwa msimamo wangu huu, nitalia.
Najua baadhi ya waja hasa flat screeners wataguna😜na wengine wameenda mbali zaidi kwa kudai eti makalio makubwa yanapunguza akili.
Nimegundua akili zikiwa za kuvukia barabara zinatosha.
Kwanza mnaotaka miakili mingi yanini? mnataka kupeleka ndege anga za mbali au?
Naomba nisihojiwe maswali kwa msimamo wangu huu, nitalia.
