Naomba kumjua Mbunifu wa Mtu 'Kuguna' akiwa Msalani ( Chooni ) pale akisikia Mtu mwingine anakuja Kuingia humo humo

Naomba kumjua Mbunifu wa Mtu 'Kuguna' akiwa Msalani ( Chooni ) pale akisikia Mtu mwingine anakuja Kuingia humo humo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni kwanini Mtu aliyeko Chooni hasa akiwa Anakunya ( Wazaramo wanasema Anaukweka ) akisikia kuna Mtu mwingine anakuja Kuingia humo huwa anawahi Kuguna ( tena kwa Nguvu ) kama sehemu ya Kumjulisha ajaye kuwa yupo?

Na Ugumu huwa unakuwa wapi kwa Mtu aliyeko Chooni ( Msalani ) kutoa tu Sauti kwa Maneno kuwa 'Oya mwana kuwa Mvumilivu bado mwenzio Nakunya na sijamaliza' mpaka Watu wengi wapende Kuguna tu?

Natamani kumjua Mbunifu wa hili.
 
Ni kwanini Mtu aliyeko Chooni hasa akiwa Anakunya ( Wazaramo wanasema Anaukweka ) akisikia kuna Mtu mwingine anakuja Kuingia humo huwa anawahi Kuguna ( tena kwa Nguvu ) kama sehemu ya Kumjulisha ajaye kuwa yupo?

Na Ugumu huwa unakuwa wapi kwa Mtu aliyeko Chooni ( Msalani ) kutoa tu Sauti kwa Maneno kuwa 'Oya mwana kuwa Mvumilivu bado mwenzio Nakunya na sijamaliza' mpaka Watu wengi wapende Kuguna tu?

Natamani kumjua Mbunifu wa hili.
Sema we jamaa mada zako za kipuuzi sana yaani wakati mwingine kitu sio kitu unaweka uzi,basi nikisoma nacheeeeeka kweli kweli.

Ila pengine kwako ndio jambo la maana sana sio tatizo.

Bwana gentamycine ukiona myu anakugunia chooni jua wewe sio mpiga hodi
 
Sema we jamaa mada zako za kipuuzi sana yaani wakati mwingine kitu sio kitu unaweka uzi,basi nikisoma nacheeeeeka kweli kweli.

Ila pengine kwako ndio jambo la maana sana sio tatizo.

Bwana gentamycine ukiona myu anakugunia chooni jua wewe sio mpiga hodi
Huyu ni:
' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer '

Subiria majibu ya kuughadhibisha moyo wako toka kwa popoma letu lililotukuka hapa Jf.
 
Weka buzzer nje na ndani ya choo cha passport size.
1639631280788.png
 
1.Vyoo vya siku hizi vina milango yenye vitasa
2.Mafundisho yanakataza watu kuzungumza chooni (tena hilo zingatia sana hata wewe)
3.Zamani hakukuwa na vitasa (vipete) vya milango vyooni
4.Haja ikim'bana mtu haina adabu hivyo ukijisahaulisha kujikoholesha eti kisa tu umeacha ishara ya kuonesha upo ndani kuna wengine hawaamini utajikuta mpo wote anakwambia umpishe fasta

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
1.Vyoo vya siku hizi vina milango yenye vitasa
2.Mafundisho yanakataza watu kuzungumza chooni (tena hilo zingatia sana hata wewe)
3.Zamani hakukuwa na vitasa (vipete) vya milango vyooni
4.Haja ikim'bana mtu haina adabu hivyo ukijisahaulisha kujikoholesha eti kisa tu umeacha ishara ya kuonesha upo ndani kuna wengine hawaamini utajikuta mpo wote anakwambia umpishe fasta

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Tunaongea na simu chooni inakuwaje, maana vinakinzana na namba mbili hapo
 
Ni kwanini Mtu aliyeko Chooni hasa akiwa Anakunya ( Wazaramo wanasema Anaukweka ) akisikia kuna Mtu mwingine anakuja Kuingia humo huwa anawahi Kuguna ( tena kwa Nguvu ) kama sehemu ya Kumjulisha ajaye kuwa yupo?

Na Ugumu huwa unakuwa wapi kwa Mtu aliyeko Chooni ( Msalani ) kutoa tu Sauti kwa Maneno kuwa 'Oya mwana kuwa Mvumilivu bado mwenzio Nakunya na sijamaliza' mpaka Watu wengi wapende Kuguna tu?

Natamani kumjua Mbunifu wa hili.
 
Sisi tunaoishi maisha haya kama tutahukumiwa kwenda jehanam, tuta appeal maana jehanam tumeianza duniani. Au tuite tuko rumande hukumu bado.
Aiseeeeee acha kuifananisha jehanam (ziwa la moto) na vitu vya kijinga kijinga.
Huku mwanangu life lake mbona fuleshi tu, wana tukikutana kwenye vigodoro tunakula burudani ya kutosho, kina Mwantumu wa kuburudisha vinyama vyetu wamejaa, gambe kama yote.
Tuliozoe maisha ya huku ukitupeleka tukaishi Masaki na Obey tunajiona kama tupo gerezani.
 
Back
Top Bottom