GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni kwanini Mtu aliyeko Chooni hasa akiwa Anakunya ( Wazaramo wanasema Anaukweka ) akisikia kuna Mtu mwingine anakuja Kuingia humo huwa anawahi Kuguna ( tena kwa Nguvu ) kama sehemu ya Kumjulisha ajaye kuwa yupo?
Na Ugumu huwa unakuwa wapi kwa Mtu aliyeko Chooni ( Msalani ) kutoa tu Sauti kwa Maneno kuwa 'Oya mwana kuwa Mvumilivu bado mwenzio Nakunya na sijamaliza' mpaka Watu wengi wapende Kuguna tu?
Natamani kumjua Mbunifu wa hili.
Na Ugumu huwa unakuwa wapi kwa Mtu aliyeko Chooni ( Msalani ) kutoa tu Sauti kwa Maneno kuwa 'Oya mwana kuwa Mvumilivu bado mwenzio Nakunya na sijamaliza' mpaka Watu wengi wapende Kuguna tu?
Natamani kumjua Mbunifu wa hili.