Naomba kumjua Mbunifu wa Mtu 'Kuguna' akiwa Msalani ( Chooni ) pale akisikia Mtu mwingine anakuja Kuingia humo humo

Naomba kumjua Mbunifu wa Mtu 'Kuguna' akiwa Msalani ( Chooni ) pale akisikia Mtu mwingine anakuja Kuingia humo humo

Ninamuelewa sana GENTAMYCINE mkuu.
Popoma linakubalika na kila mtu ni basi tu tunapenda kulidiss ili kulipunguzia ego yake, ukitaka kujua kama Genta anakubalika thread zake hata kama za kijinga kama hii lakini zinapata wachangiaji wa kutosha.
Jamaa lina lugha flani hivi ya kimipasho mipasho kama ya wadada wa buza.
 
Ni kwanini Mtu aliyeko Chooni hasa akiwa Anakunya ( Wazaramo wanasema Anaukweka ) akisikia kuna Mtu mwingine anakuja Kuingia humo huwa anawahi Kuguna ( tena kwa Nguvu ) kama sehemu ya Kumjulisha ajaye kuwa yupo?

Na Ugumu huwa unakuwa wapi kwa Mtu aliyeko Chooni ( Msalani ) kutoa tu Sauti kwa Maneno kuwa 'Oya mwana kuwa Mvumilivu bado mwenzio Nakunya na sijamaliza' mpaka Watu wengi wapende Kuguna tu?

Natamani kumjua Mbunifu wa hili.
Sidhani ni ubinifu wa mtu. Hiyo moja ya lugha za binadamu wote. Yaani ni sawa na uso kuonesja furaha, kucheka, tabasamu, hofu, hudhuni, woga, etc. Kwa hiyo akija mtu uko haja kubwa unajishtukia unakohoa.
 
Huyu ni:
' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer '

Subiria majibu ya kuughadhibisha moyo wako toka kwa popoma letu lililotukuka hapa Jf.
Mkuu sijawahi kuona tusi la kunikera hapa duniani.
 
Back
Top Bottom