GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sema we jamaa mada zako za kipuuzi sana yaani wakati mwingine kitu sio kitu unaweka uzi,basi nikisoma nacheeeeeka kweli kweli.Ni kwanini Mtu aliyeko Chooni hasa akiwa Anakunya ( Wazaramo wanasema Anaukweka ) akisikia kuna Mtu mwingine anakuja Kuingia humo huwa anawahi Kuguna ( tena kwa Nguvu ) kama sehemu ya Kumjulisha ajaye kuwa yupo?
Na Ugumu huwa unakuwa wapi kwa Mtu aliyeko Chooni ( Msalani ) kutoa tu Sauti kwa Maneno kuwa 'Oya mwana kuwa Mvumilivu bado mwenzio Nakunya na sijamaliza' mpaka Watu wengi wapende Kuguna tu?
Natamani kumjua Mbunifu wa hili.
Huyu ni:Sema we jamaa mada zako za kipuuzi sana yaani wakati mwingine kitu sio kitu unaweka uzi,basi nikisoma nacheeeeeka kweli kweli.
Ila pengine kwako ndio jambo la maana sana sio tatizo.
Bwana gentamycine ukiona myu anakugunia chooni jua wewe sio mpiga hodi
Haya mambo ya buzzer huku Buza wapi na wapi?Weka buzzer nje na ndani ya choo cha passport size.View attachment 2045641
Mvua ikinyesha unalaani kwenda chooni kwani hakina paaHaya mambo ya buzzer huku Buza wapi na wapi?
Huku ni mwendo wa kugugumia huku unakata gogo taratibu, buzzer zetu zipo kwenye midomo yetu.
Chooni hua tunaongia na mwamvuli au mpira wa nailoni.Mvua ikinyesha unalaani kwenda chooni kwani hakina paa
Tunaongea na simu chooni inakuwaje, maana vinakinzana na namba mbili hapo1.Vyoo vya siku hizi vina milango yenye vitasa
2.Mafundisho yanakataza watu kuzungumza chooni (tena hilo zingatia sana hata wewe)
3.Zamani hakukuwa na vitasa (vipete) vya milango vyooni
4.Haja ikim'bana mtu haina adabu hivyo ukijisahaulisha kujikoholesha eti kisa tu umeacha ishara ya kuonesha upo ndani kuna wengine hawaamini utajikuta mpo wote anakwambia umpishe fasta
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Radi ikipiga ndiyo umeme wenyewe wa kukuonyesha tundu.Chooni hua tunaongia na mwamvuli au mpira wa nailoni.
SwadaqtaaaaaaRadi ikipiga ndiyo umeme wenyewe wa kukuonyesha tundu.
Sisi tunaoishi maisha haya kama tutahukumiwa kwenda jehanam, tuta appeal maana jehanam tumeianza duniani. Au tuite tuko rumande hukumu bado.Swadaqtaaaaaa
Choo anachozungumzia 'popoma' ni cha huku kwetu uswazi..mlango gunia.Weka buzzer nje na ndani ya choo cha passport size.View attachment 2045641
Ni kwanini Mtu aliyeko Chooni hasa akiwa Anakunya ( Wazaramo wanasema Anaukweka ) akisikia kuna Mtu mwingine anakuja Kuingia humo huwa anawahi Kuguna ( tena kwa Nguvu ) kama sehemu ya Kumjulisha ajaye kuwa yupo?
Na Ugumu huwa unakuwa wapi kwa Mtu aliyeko Chooni ( Msalani ) kutoa tu Sauti kwa Maneno kuwa 'Oya mwana kuwa Mvumilivu bado mwenzio Nakunya na sijamaliza' mpaka Watu wengi wapende Kuguna tu?
Natamani kumjua Mbunifu wa hili.
Ninamuelewa sana GENTAMYCINE mkuu.Sisi tunaoishi maisha haya kama tutahukumiwa kwenda jehanam, tuta appeal maana jehanam tumeianza duniani. Au tuite tuko rumande hukumu bado.
Aiseeeeee acha kuifananisha jehanam (ziwa la moto) na vitu vya kijinga kijinga.Sisi tunaoishi maisha haya kama tutahukumiwa kwenda jehanam, tuta appeal maana jehanam tumeianza duniani. Au tuite tuko rumande hukumu bado.