Naomba kumjua Mbunifu wa Mtu 'Kuguna' akiwa Msalani ( Chooni ) pale akisikia Mtu mwingine anakuja Kuingia humo humo

Ninamuelewa sana GENTAMYCINE mkuu.
Popoma linakubalika na kila mtu ni basi tu tunapenda kulidiss ili kulipunguzia ego yake, ukitaka kujua kama Genta anakubalika thread zake hata kama za kijinga kama hii lakini zinapata wachangiaji wa kutosha.
Jamaa lina lugha flani hivi ya kimipasho mipasho kama ya wadada wa buza.
 
Sidhani ni ubinifu wa mtu. Hiyo moja ya lugha za binadamu wote. Yaani ni sawa na uso kuonesja furaha, kucheka, tabasamu, hofu, hudhuni, woga, etc. Kwa hiyo akija mtu uko haja kubwa unajishtukia unakohoa.
 
Huyu ni:
' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer '

Subiria majibu ya kuughadhibisha moyo wako toka kwa popoma letu lililotukuka hapa Jf.
Mkuu sijawahi kuona tusi la kunikera hapa duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…