Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years

Huu uzi ndugu mshana ni kati ya nyuzi zako ya viwango vya SGR
Yan jamaa alizungumza kila k2 ..n suala la kufuatilia sasa.Yan alichoongea hukipati kokote zaidi Huyu jamaa Mshana jr n hazina ya taifa .Nizidi tu kusema huyu braza ndio miongon mwa watu walionifanya nijiunge humu JF. God bless u ,God bless JF
 
Yan jamaa alizungumza kila k2 ..n suala la kufuatilia sasa.Yan alichoongea hukipati kokote zaidi Huyu jamaa Mshana jr n hazina ya taifa .Nizidi tu kusema huyu braza ndio miongon mwa watu walionifanya nijiunge humu JF. God bless u ,God bless JF
[emoji1548][emoji1534][emoji1545][emoji1545]
 
Wapare kwenye ubora wao, ushauri mzuri sana ingawa sisi wengine kama tumechelewa kimtindo

Vijana chukueni ushauri wa bure muende muupeleke huko fb walipo vichwa ngumu wasiopenda kusikia
 
Kaka ahsante kwa ushauri wako,,, lakini kiukweli ni kwanini vijana wa jinsia zote wanakuwa na Tamaa yaani hawardhiki na mwanamke au mwanaume mmoja
Ahsante sana kaka kwa ushauri Wako,,πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Lakini ni kwanini vijana wengi wa jinsia zote wanakuwa na tamaa yaani wanakuwa na wapenzi zaidi ya mmoja Lakini katika hao yupo anaempenda zaidi...πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Bado wanatafuta ladha ...ni kipindi tu umri ukisonga watatulizana baada ya kigundua kumbe nyama ni ile ile tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…