Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutashirikiana nipo vizur kimtindoNitafanya hivyo in the near future
Umeshasema wengine! Hakuna jipya chini ya jua ndugu yangu ukiona mtu hajapitia maisha fulani hiyo ni ramani tu ya maisha imempitisha tofauti na wewe ulikopitaLakin mbona tunapendwa sana na hao madada wenye 30+?
Wengine tumepitia mambo mengi pia ambayo huenda mtu akawa na 50 lakini bado hajawahi kupitia level hizo
The will to make it soUkijitambua utapita salama na kwa mafanikio makubwa... NAKUOMBEA
Hii ni kweli. Ukitongoza mwanamke muangalie usoni na wala usipepese macho kama vile kuangalia pembeni. Hii ni kati ya strategy ambazi huwanyima wanawake nguvu. Sijawahi kujua explanation yao. Hatq mwanamke aweje akikodolewa jicho la usoni lisopepeseka utaona anabadilika. Labda Mshana hii inatokana na nini. Halafu kila akiinama na kuinua kichwa akute umeangalia palepale..huwafanya wanawake kuamini you are serious.kumbe ukiongea hadhira inabidi uwaangalie kwny paji la uso ili kujiongezea confidence. nime gain somthng
Ni tecnic moja matata sana na inatumiwa sana na maaskari.. In fact humwangalii usoni bali juu kidogo ya macho take! Akiangusha yake ni vigumu mno kuweza kuhit backHii ni kweli. Ukitongoza mwanamke muangalie usoni na wala usipepese macho kama vile kuangalia pembeni. Hii ni kati ya strategy ambazi huwanyima wanawake nguvu. Sijawahi kujua explanation yao. Hatq mwanamke aweje akikodolewa jicho la usoni lisopepeseka utaona anabadilika. Labda Mshana hii inatokana na nini. Halafu kila akiinama na kuinua kichwa akute umeangalia palepale..huwafanya wanawake kuamini you are serious.
Ukiona hivyo. Xmas nasherekea mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] mi mwenyewe nimeshangaa kweli... Nikasema Mmh dadaangu leo mida hii anachat!
Pia nazingatia sana. Uliponambia saa 8 usiku sio mida mizuri ya kulala [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] mi mwenyewe nimeshangaa kweli... Nikasema Mmh dadaangu leo mida hii anachat!
Ndio maana uko macho?Pia nazingatia sana. Uliponambia saa 8 usiku sio mida mizuri ya kulala [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]