Naomba kupata taarifa kuhusu kisiwa cha Mafia

Ngombe kabisa Sasa Google map ingenipa details nilizopata hapa
Ng'ombe wewe na ujuha wako mbovu wa kushindwa kuwasilisha kile unachokihitaji katika maelezo yaliyonyooka.

Kwa unavyodhani google map huwa inasaidia nini?
 
Sawasawa
 
Ng'ombe wewe na ujuha wako mbovu wa kushindwa kuwasilisha kile unachokihitaji katika maelezo yaliyonyooka.

Kwa unavyodhani google map huwa inasaidia nini?
Tikiti maji wewe
 
Ngombe kabisa Sasa Google map ingenipa details nilizopata hapa
Wewe huna akili tu. Hilo halina ubishi. Wilaya zote kwenye website ya serikali zipo na maelezo. Huku ungekuja kutafuta maelezo ya ziada tu.....tunarudi pale pale, unajua kuna JF lakini hujui google as a search engine pendwa sana.
 
Asilimia kubwa hawajasoma ni asilimia ngapi?

Utafiti wako uliufanya ukiwa kwenye mdomo wa mto gani?

Ulichukua sample ya watu wangapi?

Acheni mambo ya kihuni
Uhuni kusema ukweli, ulikuwa hujuwi kuwa Mafia wakazi wake hawajasoma? Nimeishi kule miaka 4 nikifanya kazi almashauri, nenda kajionee mwenyewe usibishe tu kutafuta audience.
 
"Minding his/her Own Business" ndio code Muhimu sana itamsaidia kuishi huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…