ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Maneno bila misosi nanenepaje?🙄Mmh! ephen_ kwa misifa hii unayopewa na Lucas Mwashambwa utakuwa ushanenepa na kuwa tipwa tipwa mpk hauvutii tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno bila misosi nanenepaje?🙄Mmh! ephen_ kwa misifa hii unayopewa na Lucas Mwashambwa utakuwa ushanenepa na kuwa tipwa tipwa mpk hauvutii tena.
Leo jiandae match babu kubwaJana ukanikatili
Yeye ndiye siku akitujua sisi ndio ataweka heshima mbele,Siku mkimjua Lucas vizuri mtashona midomo yenu
Hahahaha likimfika shingoni, tutasikia yowe. Usijali Mkuu.Huyo kakwama kila sehemu,sema anaona aibu tu kusema.
Asisikie Lucas.Leo jiandae match babu kubwa
Na kweli siku tukijuana! Huwa najiuliza mwanaume unafungaje pm?Yeye ndiye siku akitujua sisi ndio ataweka heshima mbele,
Sasa tumjue kwa lipi ikiwa issue ndogo tu ya mtandao wa X kutokufunguka amekimbilia JF?
Huu mwandiko si wako, hii ni remote kabisa, umejua kunichekeshaShemeji Lucas baby wa ephen_ washa VPN kama hauna download kama bado muulize Nape 😂
Mama anaupiga mwingi Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nani amefunga PM?Na kweli siku tukijuana! Huwa najiuliza mwanaume unafungaje pm?
Ndugu yangu kivipi wewe ? 🤣Najuaga ni ndugu yako
Bila matusi ungezaliwa wewe? Chunga hilo bichwa lako kama bogaUmerejea lini wewe jamaa? Niliona umepigwa ban. Bila shaka umerejea na adabu na utakuwa na heshima humu jukwaani😀😀😀😀 .acha matusi sasa.na uwe na heshima .usimguse ephen wala mimi wala yeyote yule humu jukwaani kwa matusi yako. Walifanya vyema sana kukufungia maana ulizidi mimatusi yako. Naomba wakufungie tena ukianza kutukana😀😀😀
Bando yenyewe kapiga mzinga sehemu
Supu yenyewe ya mapupu.Huyo kajichanganya,hela ya bando kanywea supu.
The Stress Challengerr The Mongolian Savage huyu anabisha nini kwamba Chaliifrancisco sio ndugu yake?Ndugu yangu kivipi wewe ? 🤣
Lazima upigwe ban tena mpaka akili ikae sawa.Bila matusi ungezaliwa wewe? Chunga hilo bichwa lako kama boga
Huyu?Mbunge wa Mtama anahusika
Lazima upigwe ban tena mpaka akili ikae sawa.Bila matusi ungezaliwa wewe? Chunga hilo bichwa lako kama boga
Bwege weweLazima upigwe ban tena mpaka akili ikae sawa.
Nakuhakikishia ya kuwa kwa mimatusi yako hiyo ni lazima upigwe tu Ban nzito nzito mpaka ububujikwe machozi mazito mazito.Bwege wewe