Naomba kusaidiwa kwanini mtandao wa Twitter haufunguki Kwangu Tangia jana?

Naomba kusaidiwa kwanini mtandao wa Twitter haufunguki Kwangu Tangia jana?

Shemeji Lucas baby wa ephen_ washa VPN kama hauna download kama bado muulize Nape 😂

Mama anaupiga mwingi Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huu mwandiko si wako, hii ni remote kabisa, umejua kunichekesha
 
Umerejea lini wewe jamaa? Niliona umepigwa ban. Bila shaka umerejea na adabu na utakuwa na heshima humu jukwaani😀😀😀😀 .acha matusi sasa.na uwe na heshima .usimguse ephen wala mimi wala yeyote yule humu jukwaani kwa matusi yako. Walifanya vyema sana kukufungia maana ulizidi mimatusi yako. Naomba wakufungie tena ukianza kutukana😀😀😀
Bila matusi ungezaliwa wewe? Chunga hilo bichwa lako kama boga
 

Attachments

  • 20240628_151336.jpg
    20240628_151336.jpg
    129.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom