SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Nimekuwa kwenye ban kwa zaidi ya miezi sita jee imekuongezea zile buku saba unazotupiwa kila siku ? Wewe ukipigwa ban ndiyo utakufa njaa maana unalipwa kwa haya mashudu unayopost humu,mimi naingia humu for leisure tu si zaidi ya hapo,nisipoingia humu nafanya starehe nyingine tu.Nakuhakikishia ya kuwa kwa mimatusi yako hiyo ni lazima upigwe tu Ban nzito nzito mpaka ububujikwe machozi mazito mazito.
Umeng'ang'ania kuniombea ban hadi umechelewa kuripoti habari ya Mchungaji Msigwa kuhamia CCM hadi johnthebaptist amekupiku.Nakuhakikishia ya kuwa kwa mimatusi yako hiyo ni lazima upigwe tu Ban nzito nzito mpaka ububujikwe machozi mazito mazito.
GWAMAKA USWEGE is one intelligent guy. He only writes when he has to and he is always on point.The Stress Challengerr The Mongolian Savage huyu anabisha nini kwamba Chaliifrancisco sio ndugu yake?
Okay okay!GWAMAKA USWEGE is one intelligent guy. He only writes when he has to and he is always on point.
But I have to declare that simjui. Imetokea tu kuwa ana Avatar ya character wa adult swim The Boondocks, Huey Freeman ambayo na mimi ndio nimeitumia tokea kujiunga JF 2015.
Nakala kwako The Stress Challengerr
Mwambie pia kuwa wewe ni mwanamke wanguOkay okay!
GWAMAKA USWEGE mimi ni mwanamke
Hamna baanaa chalii wa ara Alexander The Great DeeboyfrexhGWAMAKA USWEGE is one intelligent guy. He only writes when he has to and he is always on point.
But I have to declare that simjui. Imetokea tu kuwa ana Avatar ya character wa adult swim The Boondocks, Huey Freeman ambayo na mimi ndio nimeitumia tokea kujiunga JF 2015.
Nakala kwako The Stress Challengerr
Acha bhangi!Mwambie pia kuwa wewe ni mwanamke wangu
Eeeh Lucas chawa kindakindaki hakusikia vijana wa 💚💛waliiomba TCRA ifungwe ina maudhui ya X-rated movies ilihali mie sijawahi kuziona mpaka mtu u search ilikuwa janja ya kumzuia dada size zero wa Marekani.Huu mwandiko si wako, hii ni remote kabisa, umejua kunichekesha
Cc DeeboyfrexhAcha bhangi!
ven a mi querida y serás felizAcha bhangi!
Okay okay!
GWAMAKA USWEGE mimi ni mwanamke
Nengla ndangla ndani ya tumbo eeeven a mi querida y serás feliz
Twitter haina shobo na washamba wa aina yako. Hapa ni jf, nenada kaulize habari za huko X huko huko.Ndugu zangu Watanzania,
Naomba kusaidiwa jambo hili .tangia jana muda wa jioni naona kila nikiingia Twitter naona haufunguki wala kufanya chochote kile. Mara ya kwanza nikafikiri labda ni mtandao upo chini lakini nikaona mtandao upo vizuri na una kasi nzuri sana na unafunguka vyema kabisa.
Leo pia tatizo limekuwa ni hilo hilo ,kila nikifungua inaandika tu kama inavyoonekana hapo chini katika picha .Nauliza je tatizo hili ni kwa wote au ni kwangu tu. Na kama ni kwangu tu je tatizo linaweza kuwa nini?View attachment 3029611
Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Halafu kwel unajua, siku hizi anamjibu kavu sana mpaka nashangaa! Au mkuu itakuwa anakula peke yake posho za lumumbaephen_ kakuchoka mjomba. Huoni anakupausha siku hizi majibu yake.
Hapana! Mimi nimesema tu😂