Naomba kusaidiwa kwanini mtandao wa Twitter haufunguki Kwangu Tangia jana?

Bubujikwa na machozi utafunguka tu
 
Mtandao muuzime wenyewe CCM halafu uje kutuuliza sisi kweli? Mpigie bwana Nape atakujibu na yule mwenyekiti wenu wa vijana maana katika mambo yote ya msingi yeye anaona apiganie mtandao ufungwe for cheap reasons ingali mpaka ikulu wanautumia kuweka matangazo yao.
 
Kamuulize Abudul wa Kizimkazi anayekulipa posho za bando
 
We kweli punga yaani uchawa wite halafu unakuja kutuuliaa sisi kuhusu Twitter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…