Habari wanajukwaa, mwenzenu kila nikipost nyuzi(thread) lakini nikitaka kuview comments na kujibu hoja post hizo huwa hazionekani, Bali zinaonekana za zamani tu. Au Mimi nakosea namna ya kuoperate. Majibu tafadhali au muongozo........
Kuna wakati Mungu anaondoa ulinzi wa malaika zake ili shetani na majeshi yake yaingie mkenge ayapatie kibano na nguvu za Mungu zionekane. Watu wengine Mungu anaamua kuwaacha kama anaona wamekengeuka na toba hawaombi anaondoa ulinzi wa malaika hao
Habari wanajukwaa, mwenzenu kila nikipost nyuzi(thread) lakini nikitaka kuview comments na kujibu hoja post hizo huwa hazionekani, Bali zinaonekana za zamani tu. Au Mimi nakosea namna ya kuoperate. Majibu tafadhali au muongozo........