Naomba kuuliza hivi AC ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nini?

Naomba kuuliza hivi AC ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nini?

A/C nikijimtambo kilichopo pembeni mwa injini, na ili kifanye kazi ni lazima kizungushwe, ...kinazungushwa na nini?* Ili iwe katk mzunguko kuna belt ilie valishwa kutoka ktk pul ya njin had ktk kijimtambo hicho,pindi tu! uwashapo gari lako !!" kijimtamba hicho huzunguka ktk hali ya uwepesi sana muda wote wa njin kuunguruma,, pia pale tu! ...unapo taka hewa ndani ya gari lako?* inakulazim Ubonyeze kitufe au swich ilie andikwa A/C,, hiki kitufe kinatumia umeme wa gari aina ya DC, moja kwa moja hadi kwenye kimtambo kile cha A/C ...hapo ndipo kuna Lock swich .yaani on & off ,ambapo ukibonyeza kule ndani ...ili kile kimtambo kifanye kazi na kule chini kunajiunganisha ,hapo ndipo mzigo unaongezeka ktk njini, Nisawa na gari uipe mzigo, au ikiwa inapanda kiliman,, Nilazima gari iwe nzito na kubadili mlio kua mzito, Na ndivyo ulaji wa mafuta huongezeka, NISAMEHEMI KW UJUMBE MREFU, JAPO KWA FAIDA nawatakia kion njema wa Jf bay
90%
 
Naomba kuuliza hivi ac ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nn?msaada wanajamvi


Wengi waliokujibu ni vilaza.... ac inatumia gas ndio, ila inaongeza work load kwenye engine..kwa sababu ya cooling ....unapowasha ac, ambapo mikanda yake ipo connected na cooling ya engine inaongeza uzito and so ili umentain rpm inayotakiwa utakanyaga mafuta zaidi.... then consupmtion inaongezeka....
 
AC ya gari inatumia umeme Wa gari . unaweza ukawasha Ac ya gari pasipo injini ya gari ikiwa imewaka hapo inakuwa inatumia umeme kutoka kwenye betri. Ila ukifanya hivyo betri yaweza kuishiwa chaji. Kwa hiyo ukiwasha gari AC itaanza kutumia umeme toka kwenye alternator ambayo ndiyo hufua umeme Wa gari. Kadri alternator inahitajika kufua umeme kiwango cha matumizi ya mafuta huongezeka.
Wewe pekee umejibu swali la mwanajamvi
 
A/c ni sawa na mzigo au mlima. Engine unaipunguzia mzigo kidogo kama hamna leakage na ac iwe imejaa vizuri ndani ya gari. Linganisha friji. Ikiwa wazi compressor inafanya kazi ys ziada kuongeza ubaridi.
 
Bora uwashe AC tu hapa mjini. Fungua madirisha uchakaze seat.
Ni kweli. Pamoja na kwamba AC inakula mafuta bado ni bora kutumia.kwa hali ya joto la hapa Dar pamoja na kutunza usafi wa ndani ya gari. Siku zote kizuri kina gharama.
 
Wengi waliokujibu ni vilaza.... ac inatumia gas ndio, ila inaongeza work load kwenye engine..kwa sababu ya cooling ....unapowasha ac, ambapo mikanda yake ipo connected na cooling ya engine inaongeza uzito and so ili umentain rpm inayotakiwa utakanyaga mafuta zaidi.... then consupmtion inaongezeka....
Watu wanatofautiana uwezo wa kuelezea.... hilo haliwafanyi wawe vilaza, kama unajua muelekeze usidhihaki watu humu unaweza kukuta umemuita mzazi wako kilaza mahala hapa
 
AC ya gari inatumia umeme Wa gari . unaweza ukawasha Ac ya gari pasipo injini ya gari ikiwa imewaka hapo inakuwa inatumia umeme kutoka kwenye betri. Ila ukifanya hivyo betri yaweza kuishiwa chaji. Kwa hiyo ukiwasha gari AC itaanza kutumia umeme toka kwenye alternator ambayo ndiyo hufua umeme Wa gari. Kadri alternator inahitajika kufua umeme kiwango cha matumizi ya mafuta huongezeka.
Umeme na mafuta vyote vinatumika. Umeme kwa fan.
Mafuta yanasaidia kupunguza kias cha umeme
 
ac ya gari ni kama ya maofisini na majumbani zote zinatumia umeme na sio umeme tuu bali ni umeme mwingi kama nyumbani kwako au ofisini bill inavyokuja kubwa pindi utumiapao ac, ndio maana umeme ukibaki kidogo utasikia msiwashe ac. kuhusu ulaji wa mafuta sasa. ktkt gari kuna vyanzo viwili vya umeme nivijuavyo mimi betri na otoneta (usinisahiishe kama haunipi maksi) kutokana na ac kuhitaji umeme mwingi betri aliwezi kuiendesha labda kwa muda mfupi sana so ili umeme mwingi upatikane kuna kifaa nilichokitaja hapo juu (kwa jina lisilo sahii kimaandishi) kifaa hiko hufua umeme kwa staili ya dainamoo ya baiskeli ila chenyenwe huunganishwa na mfumo wa uzungukaji wa injini, hapo inakuwa kama jenereta ukiliwasha bila kuwasha kitu muungurumo wake juwa tofauti na ukiwa umewasha kitu na kuna wakati utazani linataka kuzimika baada ya kukutana na kitu chenye kuhitaji umeme mwingi kama ac au friji. injini itahitaji nguvu zaidi kukisukuma kifaa hiko na hapo ndipo mafuta yanapolika. tofauti na kutotumia ac. A/C ina heater, fridge na fan ndani yake jiulize.
 
Watu wanatofautiana uwezo wa kuelezea.... hilo haliwafanyi wawe vilaza, kama unajua muelekeze usidhihaki watu humu unaweza kukuta umemuita mzazi wako kilaza mahala hapa

Ukilaza ni lugha tu ya kawaida kilaza wangu...
 
Naomba kuuliza hivi ac ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nn?msaada wanajamvi
Iko hivii:-
Air conditioner ni mfumo unaohusisha vitu anuai
1. Compressor
2. Evaporator
3. Condenser
4. Capillary tube
5. Expansion valve
6. Accumulator
7. Pipes
N.k

Ndani ya compressor kuna pump yenye piston moja. Ukubwa wa hiyo pump ndio nguvu ya compressor horse power(HP)

Compressor ina pulley ambayo huvishwa belt (fan belt) kupitia pulley ya alternator na ya fan hadi kwenye pulley ya ingine.

Ukiwasha engine inazungusha fan, alternator na compressor iliyo free (haiizungushi piston)

Wakati huo ndipo engine hubeba mzigo ambao ni Gear box na differenture (dif) na body offcourse plus mizigo utakayopakia.

Mizigo hiyo uzito wake hupungua kadri gari inavyoongeza mwendo i.e kutoka gear kubwa kuja ndogo (N.B the bigger the number the lower the gear)

Hapa uta experience matumizi ya kawaida ya gari yako.

Unapowasha switch ya A/C unakuwa umeiunga piston ya compressor (by induction manner) kwa mfumo kama wa clutch na pulley inayozungushwa na fan belt kutoka kwenye engine.

Piston ya compressor hu pump gas iliyoko kwenye system inayokuwa composed na nilivyovitaja kwenye orodha 1 - 7.

Kwenye system ya air-conditioner gas huwa sealed na haipaswi kuwa na leakage,

Gas inakuwa na matabaka mawili, pressure na liquid, compressor inapokuwa Idol, gas/liquid hu settle kwenye low pressure side of the system (unapaswa kuelewa system ya valve ya piston ina tabia gani pia)

Pump ya compressor huanza kusukuma gas pressure na liquid kwa mgandamizo mkubwa! Kitendo hiki huhitaji nguvu kubwa kuizungusha pump ya compressor ambapo kwa mzigo huo automatically piston hutakiwa kuchoma mafuta ya ziada kukabiliana na uhitaji wa nguvu inayodaiwa na compressor ya air-conditioner.
Fuel pump huongeza pressure ya fuel towards combustion chambers na ndivyo huli empty tank lako.

Nimejaribu kufanya short-cut kidoogo ili nisikuchoshe.
Kama una swali uliza hapa hapa.
Sijibu pm hata moja.
 
AC ya gari inatumia umeme Wa gari . unaweza ukawasha Ac ya gari pasipo injini ya gari ikiwa imewaka hapo inakuwa inatumia umeme kutoka kwenye betri. Ila ukifanya hivyo betri yaweza kuishiwa chaji. Kwa hiyo ukiwasha gari AC itaanza kutumia umeme toka kwenye alternator ambayo ndiyo hufua umeme Wa gari. Kadri alternator inahitajika kufua umeme kiwango cha matumizi ya mafuta huongezeka.
Wewe ni muongo kupindukia.
 
Wengi waliokujibu ni vilaza.... ac inatumia gas ndio, ila inaongeza work load kwenye engine..kwa sababu ya cooling ....unapowasha ac, ambapo mikanda yake ipo connected na cooling ya engine inaongeza uzito and so ili umentain rpm inayotakiwa utakanyaga mafuta zaidi.... then consupmtion inaongezeka....
Simple and clear
 
Nikiweka mafuta ya elfu kumi naenda na kurudi kazini kwangu...bila kuwasha ac!!!nikiweka ya hiyo hela na nikawasha ac nitaenda tu na taa ya mafuta kuisha itawaka...hivyo matumizi ya ac. huongeza matumizi ya mafuta
gari gani iyo
 
Back
Top Bottom