gen parton
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 642
- 410
Wengi wamekua wakijitesa na joto la DAR vumbi kwenye magari wakiogopa kutumia A/C mbali ya Matumizi ya Kawaida ya mafuta kwenye gari ukiwasha AC pekee yake hutumia Lita moja ya mafuta ndani ya masaa manne toka nilipojua hili huwa sijitesi tena na joto vumbi