Naomba kuuliza hivi AC ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nini?

Naomba kuuliza hivi AC ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nini?

Unapo wacha AC engine inatumia nguvu nyingi zaidi kuzungusha ule mtungi wa Ic lazima mafuta yaende zaidi
 
A/C nikijimtambo kilichopo pembeni mwa injini, na ili kifanye kazi ni lazima kizungushwe, ...kinazungushwa na nini?* Ili iwe katk mzunguko kuna belt ilie valishwa kutoka ktk pul ya njin had ktk kijimtambo hicho,pindi tu! uwashapo gari lako !!" kijimtamba hicho huzunguka ktk hali ya uwepesi sana muda wote wa njin kuunguruma,, pia pale tu! ...unapo taka hewa ndani ya gari lako?* inakulazim Ubonyeze kitufe au swich ilie andikwa A/C,, hiki kitufe kinatumia umeme wa gari aina ya DC, moja kwa moja hadi kwenye kimtambo kile cha A/C ...hapo ndipo kuna Lock swich .yaani on & off ,ambapo ukibonyeza kule ndani ...ili kile kimtambo kifanye kazi na kule chini kunajiunganisha ,hapo ndipo mzigo unaongezeka ktk njini, Nisawa na gari uipe mzigo, au ikiwa inapanda kiliman,, Nilazima gari iwe nzito na kubadili mlio kua mzito, Na ndivyo ulaji wa mafuta huongezeka, NISAMEHEMI KW UJUMBE MREFU, JAPO KWA FAIDA nawatakia kion njema wa Jf bay
Hako kamtambo kanaitwa COMPRESSOR. The rest of your explanation is valid by 99% in my opinion.
 
Iko hivii:-
Air conditioner ni mfumo unaohusisha vitu anuai
1. Compressor
2. Evaporator
3. Condenser
4. Capillary tube
5. Expansion valve
6. Accumulator
7. Pipes
N.k

Ndani ya compressor kuna pump yenye piston moja. Ukubwa wa hiyo pump ndio nguvu ya compressor horse power(HP)

Compressor ina pulley ambayo huvishwa belt (fan belt) kupitia pulley ya alternator na ya fan hadi kwenye pulley ya ingine.

Ukiwasha engine inazungusha fan, alternator na compressor iliyo free (haiizungushi piston)

Wakati huo ndipo engine hubeba mzigo ambao ni Gear box na differenture (dif) na body offcourse plus mizigo utakayopakia.

Mizigo hiyo uzito wake hupungua kadri gari inavyoongeza mwendo i.e kutoka gear kubwa kuja ndogo (N.B the bigger the number the lower the gear)

Hapa uta experience matumizi ya kawaida ya gari yako.

Unapowasha switch ya A/C unakuwa umeiunga piston ya compressor (by induction manner) kwa mfumo kama wa clutch na pulley inayozungushwa na fan belt kutoka kwenye engine.

Piston ya compressor hu pump gas iliyoko kwenye system inayokuwa composed na nilivyovitaja kwenye orodha 1 - 7.

Kwenye system ya air-conditioner gas huwa sealed na haipaswi kuwa na leakage,

Gas inakuwa na matabaka mawili, pressure na liquid, compressor inapokuwa Idol, gas/liquid hu settle kwenye low pressure side of the system (unapaswa kuelewa system ya valve ya piston ina tabia gani pia)

Pump ya compressor huanza kusukuma gas pressure na liquid kwa mgandamizo mkubwa! Kitendo hiki huhitaji nguvu kubwa kuizungusha pump ya compressor ambapo kwa mzigo huo automatically piston hutakiwa kuchoma mafuta ya ziada kukabiliana na uhitaji wa nguvu inayodaiwa na compressor ya air-conditioner.
Fuel pump huongeza pressure ya fuel towards combustion chambers na ndivyo huli empty tank lako.

Nimejaribu kufanya short-cut kidoogo ili nisikuchoshe.
Kama una swali uliza hapa hapa.
Sijibu pm hata moja.
Umeeleza vizuri sana mkuu. I'm dummy in vehicles but got everything spot on.
 
Naomba wote mkagoogle, nikirudi nikute jibu la hili swali. Hii ni homework yako Leo Siku ya iddi2
 
haters bana..wtf u hate.

Kuuliza haku maananishi chuki. Ni upotevu wa muda kujadili maswali mwengine ya kipmbv. Ni sawa na kuuliza Raisi wa Amerika anakula au kulala?
Aina fulani ya maswali ni ya kusogezea watoto siku siyo mijiti yenye midevu mpaka uvunguni.
 
Wengi waliokujibu ni vilaza.... ac inatumia gas ndio, ila inaongeza work load kwenye engine..kwa sababu ya cooling ....unapowasha ac, ambapo mikanda yake ipo connected na cooling ya engine inaongeza uzito and so ili umentain rpm inayotakiwa utakanyaga mafuta zaidi.... then consupmtion inaongezeka....
Unawaita vilaza wenzio wakati sentensi ya kwanza umeanza kwa kukubali jibu la mchangiaji mmojawapo. Sema unaongezea kidogo. Hata hivyo kuna MANENO umeandika kama unakimbizwa pamoja na kujiona uko vizuri. Ndio mnaosumbua wenzenu kazini nyie kwa dharau.
 
Mkuu umetudanganya sana.

Ipo hiv Compressor ya AC inaendeshwa na Crankshaft (main Engine) unapowasha button ya ON/OFF Moja kwa Moja inatuma signal kwny compressor. Umeme huwa unaendesha zile blower za ndan tu. Ukitaka ujiridhishe zima gar press button ya ac then uje utupe majibu.

Kumbuka
Ac inatumia kias kidogo sana cha mafuta.

Yuko sawa kama atawasha tu fan ku blow air ndani ya gari, skutaka tu kupoza hiyo hewa hapo ndio mafuta hutumika. Nadhani hajaelewa hapo.
 
Hako kamtambo kanaitwa COMPRESSOR. The rest of your explanation is valid by 99% in my opinion.
Nilicho gundua hapa wengi ni madereva, sio mafundi,, ili uamini tazama wana pinga hata hayo ulio wa fafanulia kw kina zaid,, nimemsikia moja ana sema AC inazungushwa na gring-shaft,, alafu hafafanui!:
 
Naomba kuuliza hivi ac ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nn?msaada wanajamvi
Kuwasha AC lazima kuwa na umeme. Kama unataka kujipumzisha kwenye gari baada ya kuona joto ndani kwako jifungie ndani ya gari weka on tu AC itawaka. Ila betri ya gari baada ya saa moja hiyo betri itakuwa imeisha chaji. Ili betri isiishe nguvu inabidi gari uliwashe, ili kifaa kinaitwa alternator kifanye kazi. Kazi ya hiki kifaa ni kuongeza nguvu betri muda wote inapotumika. Hivyo ukitumia AC wakati umewasha gari betri itabaki kuwa na nguvu muda wote, kwa kufanya alternator kufanya kazi ndio mafuta yanatumika. AC yenyewe haitumii mafuta.
 
Yaani ukiwa unaacha madirisha wazi wakati unaendesha, moshi mweusi wa magari (unajua dar kuna magari mengi sana so na air inejaa sana moshi ingawa mwingine hatuuoni), vumbi vumbi ndogo ndogooo na kila aina ya uchafu vinaingia kwenye gari. Inapelekea dashboard na seat zinachakaa (kama huoshi mara kwa mara) kupauka na kufubaa.
Sasa si bora tu uwashe tu AC.
Hafu AC ikiwa ON na OFF kwa safari ya Mbagala to Ubungo nishajaribu, tofauti ni negligible pamoja na foreni zote hizi.
 
A/C nikijimtambo kilichopo pembeni mwa injini, na ili kifanye kazi ni lazima kizungushwe, ...kinazungushwa na nini?* Ili iwe katk mzunguko kuna belt ilie valishwa kutoka ktk pul ya njin had ktk kijimtambo hicho,pindi tu! uwashapo gari lako !!" kijimtamba hicho huzunguka ktk hali ya uwepesi sana muda wote wa njin kuunguruma,, pia pale tu! ...unapo taka hewa ndani ya gari lako?* inakulazim Ubonyeze kitufe au swich ilie andikwa A/C,, hiki kitufe kinatumia umeme wa gari aina ya DC, moja kwa moja hadi kwenye kimtambo kile cha A/C ...hapo ndipo kuna Lock swich .yaani on & off ,ambapo ukibonyeza kule ndani ...ili kile kimtambo kifanye kazi na kule chini kunajiunganisha ,hapo ndipo mzigo unaongezeka ktk njini, Nisawa na gari uipe mzigo, au ikiwa inapanda kiliman,, Nilazima gari iwe nzito na kubadili mlio kua mzito, Na ndivyo ulaji wa mafuta huongezeka, NISAMEHEMI KW UJUMBE MREFU, JAPO KWA FAIDA nawatakia kion njema wa Jf bay
Well said.
 
Wengi waliokujibu ni vilaza.... ac inatumia gas ndio, ila inaongeza work load kwenye engine..kwa sababu ya cooling ....unapowasha ac, ambapo mikanda yake ipo connected na cooling ya engine inaongeza uzito and so ili umentain rpm inayotakiwa utakanyaga mafuta zaidi.... then consupmtion inaongezeka....
Una maana gani unaposema cooling na unasema unakanyaga mafuta zaidi!!! Kwani AC haifanyi kazi ukiwa umesimama???
 
KIFUPI NI KWAMBA UKIWASHA AC LAZMA MATUMIZI YA MAFUTA YAONGEZEKE,KUTOKANA NA MFUMO WA AC COMPRESA IKIWAKA NA SILENT YA ENGINE INAONGEZEKA
HILO LIPO WAZI KABISA NIKAMA KUWASHA DATA KATIKA SIMU BETTRY LAZMA IWAHI KUISHA CHAJ KUTOKANA NA APP NYINGI KUFANYA KAZI(background)
HII NI SAWA NA MTU ANAKUULIZA NKIWASHA PASI NYUMBANI JE LUKU ITAWAHI KUISHA???
 
Back
Top Bottom