Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,526
Kwanza unatumia gari aina gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi na zile AC za YUTONG kule juuu nazo vipi, maaan ule mufindi c wa nchi hiiiiIko hivii:-
Air conditioner ni mfumo unaohusisha vitu anuai
1. Compressor
2. Evaporator
3. Condenser
4. Capillary tube
5. Expansion valve
6. Accumulator
7. Pipes
N.k
Ndani ya compressor kuna pump yenye piston moja. Ukubwa wa hiyo pump ndio nguvu ya compressor horse power(HP)
Compressor ina pulley ambayo huvishwa belt (fan belt) kupitia pulley ya alternator na ya fan hadi kwenye pulley ya ingine.
Ukiwasha engine inazungusha fan, alternator na compressor iliyo free (haiizungushi piston)
Wakati huo ndipo engine hubeba mzigo ambao ni Gear box na differenture (dif) na body offcourse plus mizigo utakayopakia.
Mizigo hiyo uzito wake hupungua kadri gari inavyoongeza mwendo i.e kutoka gear kubwa kuja ndogo (N.B the bigger the number the lower the gear)
Hapa uta experience matumizi ya kawaida ya gari yako.
Unapowasha switch ya A/C unakuwa umeiunga piston ya compressor (by induction manner) kwa mfumo kama wa clutch na pulley inayozungushwa na fan belt kutoka kwenye engine.
Piston ya compressor hu pump gas iliyoko kwenye system inayokuwa composed na nilivyovitaja kwenye orodha 1 - 7.
Kwenye system ya air-conditioner gas huwa sealed na haipaswi kuwa na leakage,
Gas inakuwa na matabaka mawili, pressure na liquid, compressor inapokuwa Idol, gas/liquid hu settle kwenye low pressure side of the system (unapaswa kuelewa system ya valve ya piston ina tabia gani pia)
Pump ya compressor huanza kusukuma gas pressure na liquid kwa mgandamizo mkubwa! Kitendo hiki huhitaji nguvu kubwa kuizungusha pump ya compressor ambapo kwa mzigo huo automatically piston hutakiwa kuchoma mafuta ya ziada kukabiliana na uhitaji wa nguvu inayodaiwa na compressor ya air-conditioner.
Fuel pump huongeza pressure ya fuel towards combustion chambers na ndivyo huli empty tank lako.
Nimejaribu kufanya short-cut kidoogo ili nisikuchoshe.
Kama una swali uliza hapa hapa.
Sijibu pm hata moja.
Kule ndiko zilipo evaporator.Hivi na zile AC za YUTONG kule juuu nazo vipi, maaan ule mufindi c wa nchi hiiii
Na hapa ndipo matumizi ya mafuta huongezeka coz unapowasha a/c unaongeza mzigo kwny injini!
Soma post ya Chilubi hapo kajibu vzr tu!inaongeza mzigo gani chief?
Unavyowasha AC means umeongeza load kwenye compressor that mean you need more fuel to operate Ni sawa na kubeba mzigo kwenye gari pia ulaji wa mafuta unaongezekaahaaa kwa hiyo hata gari likiwa halina fuel unaweza ukatumia AC?? so Ac haina uhusiano na mafuta wala engine?
Halafu kila thread lazima ukanye kwanza punguza kula hovyo - jokesHili swali nishaulizaga watu wengi hawakunipa jibu, ngoja niende choooni nikakkate gogo nije nijifunze humu
Hili ndiyo jibu la swali la mtoa mada.labda teknlojia imenipita ila navyojua a/c inawezeshwa na gas compressor ambayo hua driven na crankshaft ya engine(hutumia mafuta ku run), cool-air blower ndo zinatumia umeme
GDIgari gani iyo
Nimejibu swali na nimetoa uzoefu, ttzo nini? hilo ni dhambi kusema nina gari.Kwani umeambiwa utuambie unagari au hauna,,badala ya kujibu swali ww unasema una cresta,,
AC ya gari inatumia umeme Wa gari . unaweza ukawasha Ac ya gari pasipo injini ya gari ikiwa imewaka hapo inakuwa inatumia umeme kutoka kwenye betri. Ila ukifanya hivyo betri yaweza kuishiwa chaji. Kwa hiyo ukiwasha gari AC itaanza kutumia umeme toka kwenye alternator ambayo ndiyo hufua umeme Wa gari. Kadri alternator inahitajika kufua umeme kiwango cha matumizi ya mafuta huongezeka.
Mkuu umetudanganya sana.AC ya gari inatumia umeme Wa gari . unaweza ukawasha Ac ya gari pasipo injini ya gari ikiwa imewaka hapo inakuwa inatumia umeme kutoka kwenye betri. Ila ukifanya hivyo betri yaweza kuishiwa chaji. Kwa hiyo ukiwasha gari AC itaanza kutumia umeme toka kwenye alternator ambayo ndiyo hufua umeme Wa gari. Kadri alternator inahitajika kufua umeme kiwango cha matumizi ya mafuta huongezeka.
shukrani mkuu kwa ufafanuzi [emoji106][emoji106]Unavyowasha AC means umeongeza load kwenye compressor that mean you need more fuel to operate Ni sawa na kubeba mzigo kwenye gari pia ulaji wa mafuta unaongezeka
Hapana huwezahaaa kwa hiyo hata gari likiwa halina fuel unaweza ukatumia AC?? so Ac haina uhusiano na mafuta wala engine?
Acha maneno ndugu..AC ya gari inatumia umeme Wa gari . unaweza ukawasha Ac ya gari pasipo injini ya gari ikiwa imewaka hapo inakuwa inatumia umeme kutoka kwenye betri. Ila ukifanya hivyo betri yaweza kuishiwa chaji. Kwa hiyo ukiwasha gari AC itaanza kutumia umeme toka kwenye alternator ambayo ndiyo hufua umeme Wa gari. Kadri alternator inahitajika kufua umeme kiwango cha matumizi ya mafuta huongezeka.