Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Kigugumiza

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2022
Posts
508
Reaction score
687
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya

Maswali mengine yana lengo la kuchosha tu watu.
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Mkuu, bila shaka ulikwisha pata habari fulani-fulani au Fununu ya kile kilichojiri kwa watu hao nyakati zao. Hebu kwanza tuambie unachokijua ili tujue tuanzie wapi kukujibu.
 
Mkuu, bila shaka ulikwisha pata habari fulani-fulani au Fununu ya kile kilichojiri kwa watu hao nyakati zao. Hebu kwanza tuambie

Mkuu, bila shaka ulikwisha pata habari fulani-fulani au Fununu ya kile kilichojiri kwa watu hao nyakati zao. Hebu kwanza tuambie unachokijua ili tujue tuanzie wapi kukujibu.
Hili swali limenifikirisha sana nataka kujua siku atakapoludi,ataludi katika stairi ipi?amevaa suti kama wachungaji wanavyomuhubiri au amevaa kanzu kama Mashehee
 
Yes alifanya yote wanayofanya wavaa makobazi wa sasa na alikuwa na kikundi chake cha kigaidi chenye wafuasi 12 wakieneza chuki na vitendo vya kigaidi mjini Yerusalemu na Kapenaumu. Na mwisho alinijitoa muhanga pale msalabani kama wanavyojitoa muhanga wavaa makobazi wa leo

Vipi umeridhika au?
 
Enzi hizo hatukuwepo tumesimuliwa tu kwenye biblia na kuweka kumbukumbu kwa njia ya video

Ukitaka kufahamu alivaaje ,alisali aje nenda kwenye utamaduni wa wayahudi utapata majibu unayoyahitaji
 
Hili swali limenifikirisha sana nataka kujua siku atakapoludi,ataludi katika stairi ipi?amevaa suti kama wachungaji wanavyomuhubiri au amevaa kanzu kama Mashehee
Ingekuwa ni vyema ukazingatia na kujikita katika hoja hapo juu👆 kwanza ili tuweze kuendelea na wewe katika mjadala huu. "Usipotezee" swali lako la msingi kwenye uzi wako. Ni hoja nzuri umeleta ila sasa naona unaanza Kuhoyanga tena.
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Mkuu nimeona kitu kwako katika kuutafuta ukweli kua ipi ni dini sahihi?

Karibu PM ujifunze
 
ajabu ni kwamba hizi hoja kuna mtu zimemfanya awe muislam kinda kinda na yupo tayari kuzifia akiamini ana hoja zinto.
Wakati fulan uko nyuma nikapata Msala nikatupwa Gwanta siku 14.
ndani ya Sero yetu kulikuwa na sehem ndogo kwa ajili ya ibada ya waislamu nikawa najumuika kama kawaida.
katika kundi ilo la waumini ndani ya sero yetu nikafahamiana na kijana mmoja mwenye mkazo wa imani mbali na kuwa ni mtu pekee aliyekuwa ana hakikisha maji ya kushikia hudhu hayakosekani alikuwa ni mtoa Adhana.
baadae nikagundua anaitwa Charles, na ameslimu miezi kadhaa uko nyuma.
siku moja sikumbuki nini kilituingiza katika mjadala wa uislamu na ukristo.
akaniambia:, kilichofanya nislim mbali na sababu zingine zote ni pale kila nikifungua Biblia kuisoma na kutana na Neno Wagidion WAFANYABIASHARA .anaendelea kusema:, nilikuwa najiuliza, kwanini neno la Mungu lifanyiwe biashara?.
Inamaana hawa Wagidion wamekoswa biashara ya kufanya hadi wafanye biashara ya neno la Mungu!! toka hapo nikajua ukristo na biblia kwa ujumla ni utapeli, nikaamua kuslimu.

kwake Charles concept ya TRINITY haikuwa shida , swala la Yesu kuvaa ama kutovaa kanzu, kusujudu etc vyote hivyo kwake si hoja, hoja kwake ni WAGIDION wafanyabiashara😂😂.

nilimuangalia kwa sekunde kadhaa kwa umakini nikagundua upungufu wa maarifa ndiyo umemtoa katika imani yake ya hawali si wa Gideon, angelijaribu kutafuta maarifa jina wagidion lisingempa shida.
Watu wangu wanaangamia kwa kukoswa MAARIFA*.
kuna makumi out there wanaslimu kwa hoja kama hizi.
Hoja za kuwafanya waslimu ni hizi hizi kama za mleta Mada , kwakuwa hawana maarifa uwaona wahubiri wa hoja hizi kama watu watafiti na makini kumbe ni chenga tupu.
 
Mkuu nakuheshimu,Ila nakuonea huruma jinsi ulivyo mtupu kichwani.

Tatizo mnachanganya vitu viwili yaani mila na desturi na hicho unachokiita dini

Ina maana kama Yesu,Masihi angezaliwa Ngorongoro wote sahizi tuvae mashuka,masime viunoni huku wanawake wamejaza mzigo wa shanga shingoni
Na kichwani upara Dunia nzima.

Halafu kama wewe unaipenda Dini yako mbona hujajilipua mpaka muda huu

Wenzio saizi Wana baruti na mabomu mfukoni stand by kwaajili ya Allah ,we upo na Tecno yako unakuja na hoja za kipuuzi

Au hutaki mabikira sabini[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom