Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Je unaweza kutupatia ushahidi katika bibilia

Kumbuka uisilamu uliletwa Kwa ajiri ya majini ndo màana Muhamadi alipopokea Imani ya usilamu alienda katika fukwe za Madina na kuhubiria majini ndio viumbe vya kwanza kuamini na kusilimu

Je duniani usilam ulishuka Kwa mhamad ndiye mtu wa kwanza kuupokea usilamu
Kwa mjibu kitabu Cha maisha ya Muhamada na asili ya uislamu huko Madina na Taipei.
Wewe umekula maharage ya wapi?huo Uisilamu unapozungumzia wa wapi?
 
Itakua ulitaka kuuliza Yesu alikua ni dini/njia gani??

Jibu-----Yesu hakua na dini/njia Bali yeye ndo dini/njia yenyewe 👇👇

Yohana 14:4-6
[4]Nami niendako mwaijua njia.

[5]Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?

[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Najua Kuna watu watasema alikua ni muumini wa dini/njia Yao bila kujua Yesu alikuwepo kabla ya dini Yao kuanzishwa

🏃🏃🏃
 
Mkuu nakuheshimu,Ila nakuonea huruma jinsi ulivyo mtupu kichwani.

Tatizo mnachanganya vitu viwili yaani mila na desturi na hicho unachokiita dini

Ina maana kama Yesu,Masihi angezaliwa Ngorongoro wote sahizi tuvae mashuka,masime viunoni huku wanawake wamejaza mzigo wa shanga shingoni
Na kichwani upara Dunia nzima.

Halafu kama wewe unaipenda Dini yako mbona hujajilipua mpaka muda huu

Wenzio saizi Wana baruti na mabomu mfukoni stand by kwaajili ya Allah ,we upo na Tecno yako unakuja na hoja za kipuuzi

Au hutaki mabikira sabini[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbali na mabikira sabini na mbili,
Pia nasikia kutakuwa mito ya pombe mbali mbali,
Watu watakula masanga mpaka waseme baaaasi..
 
Back
Top Bottom