Mkuu nakuheshimu,Ila nakuonea huruma jinsi ulivyo mtupu kichwani.
Tatizo mnachanganya vitu viwili yaani mila na desturi na hicho unachokiita dini
Ina maana kama Yesu,Masihi angezaliwa Ngorongoro wote sahizi tuvae mashuka,masime viunoni huku wanawake wamejaza mzigo wa shanga shingoni
Na kichwani upara Dunia nzima.
Halafu kama wewe unaipenda Dini yako mbona hujajilipua mpaka muda huu
Wenzio saizi Wana baruti na mabomu mfukoni stand by kwaajili ya Allah ,we upo na Tecno yako unakuja na hoja za kipuuzi
Au hutaki mabikira sabini[emoji23][emoji23][emoji23]