Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Wewe ndiye hujakomaa,hujui vyombo vya mziki na hizo anasa zipo toka enzi za kina Daudi,nikupe pole Yesu amekuja juzi ameikuta dunia inahayo yote unayoyasema, lakini sababu yeye ni Mtume wa mwenyezi Mungu hakujishughulisha nayo
Vyombo vya muziki vya enzi za akina Daudi sio microphone 🎤.
Sawa Yesu alikuja alikuta na magari na kompyuta zipo dada mkubwa.
 
Quruani imeteremshwa na Mwenyezi Mungu kupitia Jibril mmoja wapo wa Malaika wakubwa wenye heshima kubwa huko mbinguni.Quruani iliteremka kwa njia ya Wahyi au ufunuo katika muda wa miaka 23 wakati wa utume wa mtume Muhamad (S.A.W)

Kuna mtu mwingine yeyote amewahi kushuhudia wahyi ukishuka tofauti na Muhammad?
 
Kifupi kabisa ni kwamba, Uislamu haujakanilika!
Ni imani pekee Duniani ambayo inategemea imani nyingine ili ikamilike.
Bora hata wabaoabudu Ng'ombe hawahitaji dini nyingine kujikamilisha.

Uislamu haupo bila kujihalalisha kwa Ukristo
Thibitisha haya unayoyasema.
 
Na mimi pia nipo unguja huenda nikakusilimisha na ww mbona kma hawaingii kwenye ukristo kma ni dini ya kweli? dini ya mazumbukuku ni yenu mnomuabudu mtu tena kama wewe
Mi kusilimishwa labda niwe nimekufa...na hiyo maiti mtaisilimisha kwa mbinde saaaana, hapa unguja ndo nimegundua kwamba uislam ni dini la kipumbavu sana
 
Mkuu nakuheshimu,Ila nakuonea huruma jinsi ulivyo mtupu kichwani
Hiki ulichokiandika hapa chini kimedhihirisha huruma unatakiwa kujionea wewe ambae ndiyo mtupu. Nakuonyesha ulivyokuwa huna maarifa juu ya jambo hili.
Tatizo mnachanganya vitu viwili yaani mila na desturi na hicho unachokiita dini
Naomba unitofautishie kati ya Mila na desturi.

Kisha mimi nakusaidia kukupa maana ya tamko DINI. Dini ni tamko lenye asili ya Kiarabu lenye maana ya kilugha ya NJIA yaani mwenendo. Kwa maana sehemu unayopita kufikia sehemu fulani.

Dini inapokuja inawakuta watu wapo katika Mila, Desturi na ada zao (matamko haya yote matatu ni asili ya Kiarabu, na yanakaribia kwa maana ila hayana maana sawa). Dini huchukua Mila, ada au Desturi za watu ambazo ni nzuri na kuwa amri au sheria, miongoni mwa hayo huingia mavazi. Suala la mavazi kwa sifa ni sheria kumekuja mitume wengi sana na manabii wapo tunao wajua na ambao hatukutajiwa, ila wote mavazi yao yalikuwa kanzu na walikuwa wakifuga ndevu, huwezi kusema ndevu kufuga kwa mwanaume ni hiyari, wewe utakuwa hujui maana ya Dini au mwanamke kutembea kichwa wazi ni hiari.
Ina maana kama Yesu,Masihi angezaliwa Ngorongoro wote sahizi tuvae mashuka,masime viunoni huku wanawake wamejaza mzigo wa shanga shingoni
Na kichwani upara Dunia nzima.
Angezaliwa Ngorongoro asinge vaa mashuka angevaa kanzu, sababu hilo ni vazi la kisheria na la stara na mitume wote wamevaa hivyo, kama ilivyo kwenye ndevu, labda kama uwe hujajaaliwa ndevu hapo utakuwa uhusiki.
Halafu kama wewe unaipenda Dini yako mbona hujajilipua mpaka muda huu
Nani amekwambia kujilipua ni katika Dini au Dini gani inafundisha kujilipua ? Au kujilipua ni ishara ya mapenzi ya dhati ya Dini ?

Unaandika nini kijana ?
Wenzio saizi Wana baruti na mabomu mfukoni stand by kwaajili ya Allah ,we upo na Tecno yako unakuja na hoja za kipuuzi
Hapa wewe ndiyo unadhihirisha upuuzi kwa kuandika uongo na mambo usiyo yajua.
Au hutaki mabikira sabini
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Haya ni malipo miongoni mwa malipo ya waja wema.

Allah atujaalie tuipate pepo yake.
 
Mi kusilimishwa labda niwe nimekufa...na hiyo maiti mtaisilimisha kwa mbinde saaaana, hapa unguja ndo nimegundua kwamba uislam ni dini la kipumbavu sana
hua hatulazimishi mtu kusilimu bali tunamlingania akikataa basi
kwaio ata ww huenda Allah akakupa moyo mwepesi ukaja ukasilimu baadae
 
hua hatulazimishi mtu kusilimu bali tunamlingania akikataa basi
kwaio ata ww huenda Allah akakupa moyo mwepesi ukaja ukasilimu baadae
ila wakristo kwa propaganda nimewavulia kofia
 
ila wakristo kwa propaganda nimewavulia kofia
kwasababu dini yao ni ya ubabaishaji hawana hoja madhubuti

leo hii mkristo akipigwa na maisha akiamua kufungua kanisa holaaa ameshakua mchungaji yni kila mtu anatafuta tonge kwa ujanja wake tuu ila ni waongo tuu
 
Mwisho wa siku utakuja na hoja ya alitumia lugha gani na chakula gani? Hahahaha! Kwa Bwana Yesu Kristo aliyesulubishwa, akafa, akazikwa, siku ya tatu akafufuka , akapaa mbinguni kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri hata kwa kuchelewa.
Ndiyo,kwani nikuulize Yesu aliwahi kula nyama ya nguruwe
Vyombo vya muziki vya enzi za akina Daudi sio microphone 🎤.
Sawa Yesu alikuja alikuta na magari na kompyuta zipo dada mkubwa.
Kwani microphone ni kisemeo au chombo cha mziki?
 
Sasa unatuuliza sisi kwani sisi ndio tulikuwa na Yesu au mama yake miaka 2000 iliyopita??
 
hua hatulazimishi mtu kusilimu bali tunamlingania akikataa basi
kwaio ata ww huenda Allah akakupa moyo mwepesi ukaja ukasilimu baadae
Mm najua allah ni kava la kisu hayo mengine utajua wewe na mpotoshaji mwenzio mudi madem
 
kwasababu dini yao ni ya ubabaishaji hawana hoja madhubuti

leo hii mkristo akipigwa na maisha akiamua kufungua kanisa holaaa ameshakua mchungaji yni kila mtu anatafuta tonge kwa ujanja wake tuu ila ni waongo tuu
Na waislam wakikalilishwa aya mbili tatu tu wanakuwa waganga wa kienyeji yaani mawakala halisi wa ibilisi
 
Mm najua allah ni kava la kisu hayo mengine utajua wewe na mpotoshaji mwenzio mudi madem
Pole sana, ukweli wake utaukuta kaburini si mda mrefu,tena utakuwa peke yako kama ulivyozaliwa,siku utakapoulizwa;Mungu wako nani? Dini yako dini gani?Kitabu chako kitabu gani?na Mtume wako nani?kumbuka ulikuwa kiumbe dhahiri hujui lolote lile lakini Mungu kakupa nguvu badala ya kutumia kumuabudu unamdhihaki?
 
Ushirikina umekatazwa kabisa katika Uisilamu tofauti na Dini zingine,Ukimuona huyu muisilamu mushirikina hata kama anaswali basi nafasi yake ni motoni
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
kwanza jiulize nyakati za yesu ilikuwaje na ni dini zipi zilikuwapo ndio jibu utalipata hapo
 
Back
Top Bottom