Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Army corps wanadili na opereshen za ardhin tu lkn marine corps wenyew wanadili na opereshen za majin na anganKwa wale wadau wa mambo ya medani wanijuze kuhusu hivi vitengo ndani ya jeshi la marekani vina tofauti gani maana kwa ufupi nimeona hata drill instructors wao wakiwa na personalities tofauti.
Naomba kuwasilisha kwa wapenzi wa mambo ya jeshi kwenu
Na airborne wao wana deal na nn hasaArmy corps wanadili na opereshen za ardhin tu lkn marine corps wenyew wanadili na opereshen za majin na angan
Kipind hicho nipo kwenye ubora wangu niliwah hudumu marine
Askar wa miguu haoNa airborne wao wana deal na nn hasa
Kwenye mtanange huwa wanashushwa na ndege dizain km paratrooperNa airborne wao wana deal na nn hasa
Jamaa yuko ananifunga kambaPambafu unaona air Kisha unajibu miguu
USSR
Nimeongezea hapo kuwa wanaenda sait kwa ndege dizain km paratrooperPambafu unaona air Kisha unajibu miguu
USSR
Shaggy a.k.a Mr lover lover, alikuwa marine upande wa vifaru,Army corps wanadili na opereshen za ardhin tu lkn marine corps wenyew wanadili na opereshen za majin na angan
Kipind hicho nipo kwenye ubora wangu niliwah hudumu marine
Sikudangany dogo naelezea kwa uzoef niliwah hudumu marine kitamboJamaa yuko ananifunga kamba
Ina maana hujui km kuna vifaru vinaelea ndan ya majiShaggy a.k.a Mr lover lover, alikuwa marine upande wa vifaru,
Halafu wewe unasema marine corps ni majini
Ni sawa na nevi na anga kwa hapo bongo.Kwa wale wadau wa mambo ya medani wanijuze kuhusu hivi vitengo ndani ya jeshi la marekani vina tofauti gani maana kwa ufupi nimeona hata drill instructors wao wakiwa na personalities tofauti.
Naomba kuwasilisha kwa wapenzi wa mambo ya jeshi kwenu
Wapi[emoji15]Army corps wanadili na opereshen za ardhin tu lkn marine corps wenyew wanadili na opereshen za majin na angan
Kipind hicho nipo kwenye ubora wangu niliwah hudumu marine
Anga zaidi na mawasiliano yaoNa airborne wao wana deal na nn hasa
Wapi???Wapi[emoji15]
Kwa wale wadau wa mambo ya medani wanijuze kuhusu hivi vitengo ndani ya jeshi la marekani vina tofauti gani maana kwa ufupi nimeona hata drill instructors wao wakiwa na personalities tofauti.
Naomba kuwasilisha kwa wapenzi wa mambo ya jeshi kwenu
kila mtu ana hobi yake kama unapenda issue za siasa kapambane nazo mwenyewe, mm kwanza bandari siijui wala sijawahi kuiona achana na mm.Pambana kwanza ujue bandari inauzwa ama lah, ya watu baadae.