Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Wengi wanaochagiza mjadala kuhusu bandar ni wale ambao mgao uliwachenga kwa hiyo wanajibrand angalau walambishwe asal lkn ishu ya bandar haina kurud nyuma tunachopaswa kufanya ni kujipanga na yajayoPambana kwanza ujue bandari inauzwa ama lah, ya watu baadae.