Naomba majibu tafadhali watu waminio dini hizi 2 yan ukristo na uislamu

Naomba majibu tafadhali watu waminio dini hizi 2 yan ukristo na uislamu

Huwa napata shida sana tangu niko mtoto na hii inaniumiza sana binafsi mm Siamini dini yeyote kati ya ukristo wala uislamu sasa hivi mnaavyosema ety Jerusalem maka na madina ni miji mitakatifu mna maana gan kwaiyo huku kwetu africa dar es salaam nairobi Accra Lusaka adis Ababa Kampala Ni miji ya laaan........
Inakuwaje unataka majibu kwenye mambo yasiyo kuhusu! Mimi naona mambo yao ungewaachia wenyewe. Au hiyo miji ya Afrika na yenyewe ikitambulika kama miji mitakatifu, itakuvutia na wewe kuwa muumini wa dini fulani?
 
katika uhalisia biblia haisemi yerusalem kama mji mtakatifu ni uzushi tu,
Yerusalem ni mji mtakatifu kwa sababu Mfalme Suleiman alijenga nyumba ya Mungu kama alivyoagizwa baba yake Mfalme Daudi. Pamoja na hilo Hekalu alilojenga lilikuwa na mahali Patakatifu na ndani zaidi palikuwa na mahali Patakatifu pa Patakatifu. Kasome vizuri biblia yako. La sivyo kama una maana kuwa 'Kaaba ni patakatifu lakini siyo Mecca', sijui kama nimekuwlewa vizuri!
 
Wewe na hizo dini nani wa kwanza kuwepo? Alafu maneno haya huwa mnayatumia kwenye kupinga dini tu ila vitu vingine vya wazungu wala sio vibaya hapo ulipo unatumia Simu,kwako kuna Tv,Una nguo kibao hapo ulipo hauvai majani,unajua kusoma na kuandika hivyo nilivyovitaja ni vichache vyote havina Asili ya Mwafrika watu wenye mawazo kama yako naitimisha kwA kusema hamna Akili Hamjitambui.
Nakazia✍️
 
Yerusalem ni mji mtakatifu kwa sababu Mfalme Suleiman alijenga nyumba ya Mungu kama alivyoagizwa baba yake Mfalme Daudi. Pamoja na hilo Hekalu alilojenga lilikuwa na mahali Patakatifu na ndani zaidi palikuwa na mahali Patakatifu pa Patakatifu. Kasome vizuri biblia yako. La sivyo kama una maana kuwa 'Kaaba ni patakatifu lakini siyo Mecca', sijui kama nimekuwlewa vizuri!
asante sana umeshasema "palikuwa" inamaana sahivi hakuna, "pailijengwa" inamaana sahivi pamebomolewa sahivi hakuna hekalu wala sanduku la agano duniani baadhi ya aya za ufunuo zinaonesha hekalu kwasasa lipo mbinguni sanduku la agano lipo mbinguni na Jerusalem mpya ipo mbinguni
 
Back
Top Bottom